JF ninaomba sala zenu leo ni kura za maoni!

mkuu sala hazikusaidia? Ha ha haaa... Kajitakase tena yaelekea una mawaa sana ha! Ha! Ha! Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...! Ee mungu nisamehe bure, ha! Ha! Haaaaaaaaaa! Duh!

- zisingesaidia nisingekuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa mpaka kukuchagulia rais, vipi kwani wewe ni kiongozi wa taifa kama mimi au naongea na mwananchi tu wa kawaida? Ha! Ha! Ha!

Le mutuz
 
rais ajaye hawezi kutoka ccm otherwise uwe unaumwa ugonjwa wa akili
but ni lini utakomaa kiakili ili uendane na umri wako?..
I will always call you a looser

- ok so nikisema rais atatoka chadema nitakuwa sawa na umri wangu, kama unavyotaka au? Ha! Ha1

le mutuz
 

- blog ni biashara so in it we do what business wants, nashukuru kujua kwamba unashinda kwenye blog kila siku saafi saana, mengine ni waste na wala hayanihusu, ninaendelea na maisha yangu kama kawa!! Kesho nitakuwa kawe kama mgeni rasmi wa mkutano wa uc-ccm mkoa, so karibu sana!!

Le mutuz!!
 
Kila la kheri mtani.
 
- LET ME UNDERSTAND THIS, SIJUI SIASA LAKINI NINAWEZA KUVUTA PAGE 20 KATIKA JAMIIFORUMS NA HUKU SIJUI SIASA KABISA KAMA UNAVYOSEMA? MHHHHHHHHHH REALLY? HA! HA1 HA!

lE mUTUZ
Learn to read and understand, sijasema hujui siasa, nimesema achana na saisa zinakuwekea kimavi!!!!
 
- Kwa hiyo una maana Slaa hafai kwa sababu alimuacha mke na watoto au? ha! ha! ha!, unajua haya huwa ni maneno ya my exwife na familia yake, I feel very sorry for them it is over haitakuja kurudia tena, you know! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz

....usiwasemee wenzako yaani huwezi kujieleza bila kumtaja Slaa au Mbowe? Slaa anapatana na mkewe na hajatelekeza familia. Yaani wewe unakiri kabisa umetelekeza? sijui kama hayo ni maneno ya ur x najua kutoka kwako na umethibitisha hapa.

ha! ha! ha! ha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…