JF ni tamu kama ngono

JF ni tamu kama ngono

si kila anae post ana post Usiku.
wengine huko makwao ni mchana .
 
Ukikipenda kitu ni ugonjwa mbaya sana hutasikia la mnadi swala wala la muadhini ni full kudata... Huambiliki.... husikii... Hushikiki... Hukamatiki!!!
Ni sawa na ulevi wa bangi, ulevi wa Mpira, ulevi wa pombe, ulevi wa umbea ati kusutwa sunna... View attachment 313681
Usiku huu hujalala ati unapost... Wee mwanga??? Ati unareply na kulike... Kumbuka kesho job na mahabuba anakusubiri hapo pembeni..muendeleze uumbaji na kupoza tamaa za mwili na roho!, Keshategesha.... Jifanye hamnazo kisa JF!! Asilimia 49 itakuhusu... Mi simo acha nifanye yangu.....!!!
Mmmmmh mashikolo mageni
 
Mie mbona mgeni humu....mambo mapya mapya tu

ngoja niende mafunzoni kwanza
 
Wewe mpare una tabu sana. Nadhani wewe wa mlimani mpakani na wasambaa.
 
Wewe mpare una tabu sana. Nadhani wewe wa mlimani mpakani na wasambaa.
1451813276545.jpg
 
Mhhhhhh hivi hakuna kitu kingine chenye thamani ya utamu zaidi ya ulichokianisha mtoa mada?
Ngoja na mie nilale sasa niwaachie popoz JF yao

dada nakushauri achana na kupenda vitamu!
 
Kaka ungeniuliza kwanza vitamu kwangu ni vipi?
Mimi cha kwanza ni Korean Series, naachaje sasa?
kama hivo ni sawa! utanfundisha kupenda Korean Series, na baaadae unipe nikaangalie1
 
Na ashukuliwe sana Muumba kwa kugawanya utamu kwenye vitu mbalimbali kama muwa n.k la sivyo tungeuwana na kuchinjana kama utamu ungekuwa eneo moja.
Kwa maana hiyo, wale wanaouana hawajawahi kufahamu kuwa kuna utamu zaidi ya ile sehemu moja wanayoifikiria wapo? Au huwa wanajiwehusha?
 
Back
Top Bottom