JF na nicknames.......

Heeeeeeeeeeh!
Mabigi!
Baby sister njoo tuongee chemba, mzee karibia anakata kauli huyu
 
Hahahahah!
Pole babangu,
Ndio ishaingia kwenye hansadi lol!
Cantalisia Bint Mtambuzi,naonyeshea msisitizo tu Baba
 
Heeeeeeeeeeh!
Mabigi!
Baby sister njoo tuongee chemba, mzee karibia anakata kauli huyu
Here i am sisy,
Kibubu chake kiko under arest yangu njoo na msumeno!
Nishampa habari yake mdingi,
Kachelewa nickname ishaingia kwenye hansadi!
Na hizo chenji hapati ng'o
 
Hahahahah!
Pole babangu,
Ndio ishaingia kwenye hansadi lol!
Cantalisia Bint Mtambuzi,naonyeshea msisitizo tu Baba
Kama nikikufa na presha, ujue utakuwa umechangia, na mama Ngina hatakuacha, sijui atakubeba na mbeleko gani........
 
Unadhani kupendwa na PAW issue ndogo eh? Acha nijishebedue mtoto wa kike,lol!
Nshajifagilia, afu eti kaona wivu anadai anamhurumia kakake! Huyu wifi siku hizi, sijui ananizunguka?
Kukuzunguka sina hakika, ana kitu chamsumbua sijaonana nae nimwulize kimeishia wapi? Alininong'oneza eti anahisi kaka yetu Kaizer hampendi kama zamani sasa usikute ameanza kutuonea wivu vile sie kaka zake wanatupenda kwa moyo wa dhati.. Chezeiya gubu la wifi wewe!.. Mie kule sipiti peke angu namsubiri kakake aje nijipitishe nae...lol
 
Kama nikikufa na presha, ujue utakuwa umechangia, na mama Ngina hatakuacha, sijui atakubeba na mbeleko gani........
Kufa hutakufa ila cha moto utakiona tu mdingi wangu,
Ungekuwa unafanya ule mpango wetu wala usingepata presha!
Na ukijua km kile kibubu chako kiko under arest yangu sijui km utapona lol!
 
Bishanga, The Boss sio mzee wa nyumba ndogo as you say. Ni MZEE WA VITUMBUA.
Source: The Boss mwenyewe. Shahidi: FaizaFoxy.
Aliko yasemea: Thread ya utambulisho ya MZEE WA MBUNYE (Ashakum si matusi)
 

Huyo kwenye red huyo umemuonea aisee
 
ebu na mimi nipe nick name
 
Heshima yako kwa 'warembo' iko wapi?
Mi hua nafuatwa sio nafuata, na kuinama kwenye vidirisha vya gari nayo mwiko.
karibu lunch serena basi,utanikuta meza ya mwisho kushoto,ukitaka njoo na mashost wako pesa ipo.
 
Umeona domo tu, ule weusi na kitambi je? Matege nayo wamwachia nani?...lol.

Mie sijambo Bishanga, memiss wewe sana!


Jipe likizo kwa raha zako bana, maisha yenyewe mafupi ukifikiria kila dakika waweza zeeka siku sio zako..
weye wapenda weusi wenye matege?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…