Ngoja aje mwenyewe atoe ufafanuzi..ulivyoelewa ndo hivo hivo kabisa.
Malaria Sugu- Yusuph Makamba..
Rejeo = Mapua aka JafongoBishanga- tajiri la kihaya
kweli asili haipotei!!!
Bishanga- tajiri la kihaya
kweli asili haipotei!!!
Rejao - The Sexiest
We said ....NICKNAMES........ not real namesMS Ni binti, atakuwaje YUSUF??
halafu we mbona unajaribu kutuongopea kuwa wewe ni kidume???Rejao - The Sexiest
Hujanitendea haki SL...ulishawahi kuniona nalia? lol!!1. Bishanga- tajiri la kihaya aka Mpoki wa O'comedy!
2. nitonye- masanja mkandamizaji
3. Rejao- mizengo pinda
4. Kongosho- beatrice wa BSS.
Hahaha! Haya ngoja nibadilishe!Hujanitendea haki SL...ulishawahi kuniona nalia? lol!!
sweetie ndo umeniua kabisa,domo la mpoki,du!1. Bishanga- tajiri la kihaya aka Mpoki wa O'comedy!
2. nitonye- masanja mkandamizaji
3. Rejao- mizengo pinda
4. Kongosho- beatrice wa BSS.
lol...ngoja niwe mpole tu cuz unaweza ukamwaga list hapa mpaka ukashanga unanigusa kweli!!Hahaha! Haya ngoja nibadilishe!
Rejao- Nape Nnauye!
toka nje basi mara moja,utaniona nimepaki merc 600S ukisogea nitafungua dirisha.
Hujanitendea haki SL...ulishawahi kuniona nalia? lol!!