JF na ndoa zetu

Hahah najua wewe ni kati ya smart girls hapa ndio maana macho yakawa yamenitoka nikahisi labda hilo jismartphone lako limeanza ukorofi wa kubania baadhi ya herufi...

haha hamna yani,napataga uvivu kuandika kila kitu yn,haya ahsantee....ntalfanyia kazi
 
Yap its true social media they make us busy even we forget the necessities of the two being the same like mikasi and so on
 
Haya...

Ila jaribu kutenga muda wako kwa mambo binafsi na majukumu ya kindoa, muda idle ndio uwe waingia jukwaani.
Watu8...kwahyo wew muda mwng upo iddle?maana muda mwng upo jf
 

Haukuwa na mapenzi ya kweli kwake hiyo sababu haitoshi kuvunja mahusiano
Vipi sasa ulimpata ambae hayuko bize na mitandao? Anayetumia cm ya toch.
 
Haya...

Ila jaribu kutenga muda wako kwa mambo binafsi na majukumu ya kindoa, muda idle ndio uwe waingia jukwaani.

Nafanyia kazi ushauri wako, maana nahisi anafanya hivyo kunilipizia kisasi
 
I wish I could keep my phone away for just ten minutes.
 
Yap its true social media they make us busy even we forget the necessities of the two being the same like mikasi and so on
When English fails us...ndo umesema nini?
 
Watu8...kwahyo wew muda mwng upo iddle?maana muda mwng upo jf

Mi niliuliza iwapo watu ambao muda wote wapo jf ina maana hawana wenza, nikajibiwa natafuta ugomvi
 

Utapiga vibut wangap dada angu...maana cku iz social ntwrks adi zinaboa......kila mtu busy na sim ake...akimwaga ugal mwaga mboga...tuone anajiskiaje akikuongelesha we uko busy na sim...
 
I wish I could keep my phone away for just ten minutes.

Smtms I wish the same. Nikiwasha pc asbh huwa nasema leo siingii social networks, baadae najikuta nipo jf
 
Utapiga vibut wangap dada angu...maana cku iz social ntwrks adi zinaboa......kila mtu busy na sim ake...akimwaga ugal mwaga mboga...tuone anajiskiaje akikuongelesha we uko busy na sim...

he just had too many troubles shosti,tukiwa wawili muda na me hana,kugegeda hajui,pesa hana,sasa nibaki in the name of ntamwaga wangapi?HAPANA kw kweli...on to the next one...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…