wakuu muda mrefu nimeshindwa kupata access ya jf forum karibia mwezi na wiki sasa,vip kuna tatizo gani,nimejaribu mitandao yote ya simu imeshindikana.nikijaribu ina load mud mrefu sana halafu haimalizi.
msaada kwa anae jua nifanyeje
wakuu muda mrefu nimeshindwa kupata access ya jf forum karibia mwezi na wiki sasa,vip kuna tatizo gani,nimejaribu mitandao yote ya simu imeshindikana.nikijaribu ina load mud mrefu sana halafu haimalizi.
msaada kwa anae jua nifanyeje
pia nna wasiwasi jf desktop version, inaload alot of javascripts au script zingine zinafanya site iwe nzito kufunguka, mpaka uwe na spidi kubwa ya internet, ila kwenye mobile sijakutana kitu kama kuwa slow au kukwama
pia nna wasiwasi jf desktop version, inaload alot of javascripts au script zingine zinafanya site iwe nzito kufunguka, mpaka uwe na spidi kubwa ya internet, ila kwenye mobile sijakutana kitu kama kuwa slow au kukwama