Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Wasalaam wana jf!
Sote tunajua hesabu umekuwa ugonjwa wa taifa kama si ugonjwa wa dunia!Hili limekuwa tatizo kubwa kwa kuwa hakuna misingi ya kuwa fanya watu wapende somo hili na hata hivyo ni wachache wanao jishughulisha kufanya hesabu kama mazoezi hata kwa kufanya hesabu rahisi!
Jf mathematic clinic special thread nimeaianzisha makusudi hili watu waitumie kukumbushana,kufunzana,kuelezana,kuelekezana jinsi ya kufanya maswali mbali mbali ya hesabu.
Sote tunajua fika hesabu huchangamsha ubongo na hesabu ni afya!Hivyo hapa itakuwa sehemu ambapo watu watakuwa wanaweka maswali na kupata majibu kutoka kwa wanaoweza kuyapatia suluhu au majibu!
NB:Hii si thread ya mashindano bali itumike kama sehemu ya watu kujifunza na kujaribu kila mtu atakuwa huru kuuliza maswali kuhusu hesabu na kila mtu atakuwa huru kufanya swali husika pia kukokosa penye makosa!
Naomba kwenye thread hii tusi chit-chat.na kama tuki chit chat basi maongezi yata husu hesabu..lakini ingependeza hesabu!
Kwa kuanzia hili kuweka mzizi wa thread hii nitaweka maswali matano rahisi ambayo yeyote ataruhusiwa kuya solve na mtindo utakuwa ni kusolve maswali yanayo letwa na kuweka maswali ya kusolve pia kuhoji kuhusu majibu yanayo tolewa..
Pia ni vyema mkazingatia kuonesha njia zaidi ambayo imetumika kupata jibu ili kila mtu aweze kuelewa!
QESTIONS
Qn .1) Three pipe A,B and C.it takes pipe A and B 10 Minutes to fill tank and it takes pipe C 10Min to empty it. How many min will takes A,B and C to empty it if all pipes are open at the same time?
Qn.2) 3+3=Y tafuta Y
Qn.3) rahisisha (9-0)(9-1)(9-3)(9-4)______(9-n)
Qn.4)Tafuta namba inayo kosekana
5,_,1205,_271205,_
Qn.5) (9-0)(9-1)(9-3)..........
Sote tunajua hesabu umekuwa ugonjwa wa taifa kama si ugonjwa wa dunia!Hili limekuwa tatizo kubwa kwa kuwa hakuna misingi ya kuwa fanya watu wapende somo hili na hata hivyo ni wachache wanao jishughulisha kufanya hesabu kama mazoezi hata kwa kufanya hesabu rahisi!
Jf mathematic clinic special thread nimeaianzisha makusudi hili watu waitumie kukumbushana,kufunzana,kuelezana,kuelekezana jinsi ya kufanya maswali mbali mbali ya hesabu.
Sote tunajua fika hesabu huchangamsha ubongo na hesabu ni afya!Hivyo hapa itakuwa sehemu ambapo watu watakuwa wanaweka maswali na kupata majibu kutoka kwa wanaoweza kuyapatia suluhu au majibu!
NB:Hii si thread ya mashindano bali itumike kama sehemu ya watu kujifunza na kujaribu kila mtu atakuwa huru kuuliza maswali kuhusu hesabu na kila mtu atakuwa huru kufanya swali husika pia kukokosa penye makosa!
Naomba kwenye thread hii tusi chit-chat.na kama tuki chit chat basi maongezi yata husu hesabu..lakini ingependeza hesabu!
Kwa kuanzia hili kuweka mzizi wa thread hii nitaweka maswali matano rahisi ambayo yeyote ataruhusiwa kuya solve na mtindo utakuwa ni kusolve maswali yanayo letwa na kuweka maswali ya kusolve pia kuhoji kuhusu majibu yanayo tolewa..
Pia ni vyema mkazingatia kuonesha njia zaidi ambayo imetumika kupata jibu ili kila mtu aweze kuelewa!
QESTIONS
Qn .1) Three pipe A,B and C.it takes pipe A and B 10 Minutes to fill tank and it takes pipe C 10Min to empty it. How many min will takes A,B and C to empty it if all pipes are open at the same time?
Qn.2) 3+3=Y tafuta Y
Qn.3) rahisisha (9-0)(9-1)(9-3)(9-4)______(9-n)
Qn.4)Tafuta namba inayo kosekana
5,_,1205,_271205,_
Qn.5) (9-0)(9-1)(9-3)..........