JF Ladies kuelekea #VALENTINE2024 ❤️

JF Ladies kuelekea #VALENTINE2024 ❤️

Hello ladies!!

Niseme ukweli, mimi sio mtu wakutilia sana maanani sikukuu(s) zaidi ya birthdays. Kwahiyo sikumbuki kusherehekea Valentine na mtoto wa mtu, ila zawadi ambayo nimewahi kumpa mkaka akafurahia sana was a surprise 4-day gateway.

Anyway, leo tujikite kwenye kutoa zaidi ya kupokea maana hako ni kamoja ya ka-weakness kakubwa kwa baadhi yetu.

Kwanza kabisa, ni zawadi gani nzuri sana ambayo umewahi kumpa mume/mpenzi wako kwaajili ya Valentine.

Pili, kwa wale ambao wako kwenye mahusiano, unapanga kumpa zawadi gani mpenzi/mume wako Valentine hii??

Huku mtaani kuna wakaka nawasikia wakisema wamechoka ile uniform ya kaoshi na boxer, chocolate, and the likes.

So...how about something a little different this year?

- Perhaps kitu kinachoendana na hobby ama kazi yake, (a new computer, video games, something car related kwa wapenzi wa magari, a good book, Internet subscription na router ya 5G kabisa kama vipi, viatu vya mpira, camping gear kwa wale ambao ni outdoorsy, subscription ya gym, VIP ticket ya kwenda kuangalia team yake etc.).

- A nice romantic dinner at home au restaurant.

- A gift card for spa treatment akapate massage kutoka kwa professional masseuse na facial.

- A beautiful love letter...

- A weekend gateway! Na hivi Valentine imedondokea katikati ya wiki, unaweza ukajidai hujampatia zawadi yoyote alafu weekend unam-surprise haswa!

All in all, muhimu zaidi ni kupendana kweli, kuheshimiana, na kuwa appreciative towards each other throughout the year, sio kwa maonyesho ya siku moja tu.

PENDANENI RESPONSIBLY
View attachment 2896464
Kesho ni siku ya majivu tunaanza mfungo
 
Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂

Kauli mbiu ya chama; Mwanamke tulia utunzwe
Yaani na kazi yako ya uwinga upate gari?

Si ninge shangaa wewe kausha damu😂😂

Kila mwaka uko palepale tu, basi hata Ongeza ujuzi kwenye mizagamuo upate sponsor waapi Daah sina cha kuwatetea machuga lady kapuku nyie
 
Yaani na kazi yako ya uwinga upate gari?

Si ninge shangaa wewe kausha damu😂😂

Kila mwaka uko palepale tu, basi hata Ongeza ujuzi kwenye mizagamuo upate sponsor waapi Daah sina cha kuwatetea machuga lady kapuku nyie
Sio gari tu mpaka wewe nikiamua nakupata..!! 😹😹😹

Leo uko off kuchunga ng’ombe?
 
Yaani na kazi yako ya uwinga upate gari?

Si ninge shangaa wewe kausha damu😂😂

Kila mwaka uko palepale tu, basi hata Ongeza ujuzi kwenye mizagamuo upate sponsor waapi Daah sina cha kuwatetea machuga lady kapuku nyie
Sio gari tu mpaka wewe nikiamua nakupata..!! 😹😹😹

Leo uko off kuchunga ng’ombe?
 
Back
Top Bottom