Kwa mtazamo wangu Mali anasimamia mke.... Ila kwa kweli sioni kama ni heshima kua mtu ulikua na mumeo... Ulete mwanaume mwingine humo ndani. Naamini kama huyo mwanaume anakuheshimu hatathubutu kuja mlale woote humo ndani. Atajitahidi kwa kila namna muwe mnakutana huko nje. Hasa kama una watotot.... Wakiwa wakubwa haipendezi sababu wanajua mnafanya nini huko ndani, tofauti kama ni baba yao wamekua with the knowledge you share a room. Wakiwa wadogo ndio sumu kabisa... Inakua kama wawachanganya.... Sidhani kama huyo mwanaume unakua mmepanga kuoana... Mkiachana tena mwingine ulete humo ndani. Ki maadili kwa watoto sio nzuri na pia yakupunguzia heshima kwa huyo mwanaume, watoto, wanafamilia na Jamii nzima.