pisces
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 240
- 61
.... member wa jf tubadilike sasa.
humu ndani kumekua na tabia sikuhizi ya baadhi member kutofikiri.
inapotolewa mada mara nyingi huishia kwenye marumbano, matusi na kejeli. uhuru wa kutoa maoni umekua hauheshimiwi tena. ule ustaarabu wa kukosoa kwa hoja za msingi umepungua sana siku hizi.
inasikitisha kuona thread zinageuka kua za majibizano na mipasho badala ya ule ustaarabu wa kutoa hoja za msingi na kuelimishana. lazima tukubali kutofautiana, isiwe mtu anapochangia kile ambacho wewe hukipendi basi iwe mwanzo wa kutukanana na kupigana mipasho.
ikitokea mwenzetu akakosea spelling basi atapigwa vijembe balaa.pia kumezuka tabaka la wenyeji na wageni humu ndani. kitu ambacho hakina mantiki yoyote. hata sisi tulikua wageni wakati tunajiunga jf.
tuendelee kuwekana sawa na kuifanya jf yetu iwe yenye kuelimisha na kujenga, na utofauti wake na fb au tweeter uwe wazi.
humu ndani kumekua na tabia sikuhizi ya baadhi member kutofikiri.
inapotolewa mada mara nyingi huishia kwenye marumbano, matusi na kejeli. uhuru wa kutoa maoni umekua hauheshimiwi tena. ule ustaarabu wa kukosoa kwa hoja za msingi umepungua sana siku hizi.
inasikitisha kuona thread zinageuka kua za majibizano na mipasho badala ya ule ustaarabu wa kutoa hoja za msingi na kuelimishana. lazima tukubali kutofautiana, isiwe mtu anapochangia kile ambacho wewe hukipendi basi iwe mwanzo wa kutukanana na kupigana mipasho.
ikitokea mwenzetu akakosea spelling basi atapigwa vijembe balaa.pia kumezuka tabaka la wenyeji na wageni humu ndani. kitu ambacho hakina mantiki yoyote. hata sisi tulikua wageni wakati tunajiunga jf.
tuendelee kuwekana sawa na kuifanya jf yetu iwe yenye kuelimisha na kujenga, na utofauti wake na fb au tweeter uwe wazi.