Mistari imekupa mimba,pole mama kijacho//Unajitutumua, ila keyboard imeloa jasho jingi /
Unafunika nafunua, wee bishoo naona unaforce kingi/
Punguza carolyte inababua, tena uache pan'gan'ga mingi/
Buda chunga Nipo stabo, na siwezi heshimu maminor/
Wanaotumia bando la promo, tena na Tecno za China /[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikidemostrate machizi, wanacopy kisha wanapest/Mistari imekupa mimba,pole mama kijacho//
Kidume ndo nishatimba,nakupa dude kalale macho//
Hili ndo chaka la simba,kidali poh! kalale nacho//
Saimbora wa ben paul,na wewe eti unataka ubingwa!//
This is so fun pal...funny gal,hivi umetingwa//
Mi bishoo kweli tena bishololo kidume....//
We ni mpiga show tu yan chakula ya mume//
Eti budapest!!.....leo buda mkushi nakupeleka gest//Nikidemostrate machizi, wanacopy kisha wanapest/
Nikk akasema Put X on verse, wanadhani wao ndiyo the best/
Naponda raha ile kichizi, safari mobb kesho natimba Budapest/
Dogo una hasira za mkizi, njoo nikupet huku umelala kwa mychest/
Sitetereki nipo wima, kama milima ya usambara/
Linasokota fanya hima, hilo tumbo lako la kuhara/
HahahahaEti budapest!!.....leo buda nakupeleka gest//
Hata kifua chenye chuchu ni chest....i enjoy ya test//
Usipanic bro,uwezo ndo unaongeaNa huu utumbo siku hizi eti unaitwa mistari,
Vesi zimejaa shombo zinaenda kombo unaziundia mistari,
Na kelele mingi za uongo nna usongo nakuundia mistari,
Uko slow ka ushirombo kukaza hauwezi tena,
Mgumu nimekuja nakusanya roho za manyangema,
Maneno shombo diss nyingi ka Diamond na Wema,
Ulingo unatuhusu panda ndani nikuchape na antena
Tulia nikupe doziWe mhudumu lete chai vitafunwa lete nyama nina mori ka Masai/
Kisha nipe mahesabu sijala maandazi wala Kababu/
Na sina swaga za "keep change" jpo nna hela km Benki/
Vyombo toa Bila papara ukivunja utakatwa mshahara/
Post sent using JamiiForums mobile app
Usipanic bro,uwezo ndo unaongea...
... hatari
Linabomoa majabari,na kuwashusha wanaojiita wakali
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/Tulia nikupe dozi
Ya TB we kikohozi//
Me mc jinamizi
Nakusumbua kwenye njozi//
Kuchana umeanza juzi
Kiufupi hauniwezi//
Pambana na hali yako
Uache ukikojozi//
Acha kelele mc mzembe
Nipe mistari sio vijembe//
Vya kaisari mpe mwakyembe
Beba msumari nkupe wembe/
Me muhimbili we mirembe
Chukua bangili ujirembe//
Nenda salon wakupambe
Ukashiriki ulimbwende//
Worzaaa
Heavy Weight
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/
Jpo sio nzi ila anopheles Njaa imekukaba Koo/
Hapa Pabaya nitakuvunja kiuno we Mr nice Me ndio Dudubaya/
Mkuu wa kaya on fire we yaya me Baba ubaya/
Usizingue umechenguka kitambo NishawehukA/
Una cat walk km Odemba ama watoto wa kipemba
Sema "hujatulia" Ray c na temba kitambo washanena km Papa wemba/
Twende mtoko nikununulie karanga na ubuyu we Mtoto
Nikupe show sokomoko km ni mapacha umuite na wako Doto/
Ushanichafua nakupenga ka kamasi kwenye Pua/
Njoo single ama kikosi nina Barz zisizoisha km isiDingo so utaDunda km Utosi...
[HASHTAG]#KiDogo[/HASHTAG]
Post sent using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/
Jpo sio nzi ila anopheles Njaa imekukaba Koo/
Hapa Pabaya nitakuvunja kiuno we Mr nice Me ndio Dudubaya/
Mkuu wa kaya on fire we yaya me Baba ubaya/
Usizingue umechenguka kitambo NishawehukA/
Una cat walk km Odemba ama watoto wa kipemba
Sema "hujatulia" Ray c na temba kitambo washanena km Papa wemba/
Twende mtoko nikununulie karanga na ubuyu we Mtoto
Nikupe show sokomoko km ni mapacha umuite na wako Doto/
Ushanichafua nakupenga ka kamasi kwenye Pua/
Njoo single ama kikosi nina Barz zisizoisha km isiDingo so utaDunda km Utosi...
[HASHTAG]#KiDogo[/HASHTAG]
Post sent using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/
Jpo sio nzi ila anopheles Njaa imekukaba Koo/
Hapa Pabaya nitakuvunja kiuno we Mr nice Me ndio Dudubaya/
Mkuu wa kaya on fire we yaya me Baba ubaya/
Usizingue umechenguka kitambo NishawehukA/
Una cat walk km Odemba ama watoto wa kipemba
Sema "hujatulia" Ray c na temba kitambo washanena km Papa wemba/
Twende mtoko nikununulie karanga na ubuyu we Mtoto
Nikupe show sokomoko km ni mapacha umuite na wako Doto/
Ushanichafua nakupenga ka kamasi kwenye Pua/
Njoo single ama kikosi nina Barz zisizoisha km isiDingo so utaDunda km Utosi...
[HASHTAG]#KiDogo[/HASHTAG]
Post sent using JamiiForums mobile app
Napita wananzengo, soon nitadondoka na songi LA kisukuma
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/
Jpo sio nzi ila anopheles Njaa imekukaba Koo/
Hapa Pabaya nitakuvunja kiuno we Mr nice Me ndio Dudubaya/
Mkuu wa kaya on fire we yaya me Baba ubaya/
Usizingue umechenguka kitambo NishawehukA/
Una cat walk km Odemba ama watoto wa kipemba
Sema "hujatulia" Ray c na temba kitambo washanena km Papa wemba/
Twende mtoko nikununulie karanga na ubuyu we Mtoto
Nikupe show sokomoko km ni mapacha umuite na wako Doto/
Ushanichafua nakupenga ka kamasi kwenye Pua/
Njoo single ama kikosi nina Barz zisizoisha km isiDingo so utaDunda km Utosi...
[HASHTAG]#KiDogo[/HASHTAG]
Post sent using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta kinyesi kwenye shimo la Choo/
Jpo sio nzi ila anopheles Njaa imekukaba Koo/
Hapa Pabaya nitakuvunja kiuno we Mr nice Me ndio Dudubaya/
Mkuu wa kaya on fire we yaya me Baba ubaya/
Usizingue umechenguka kitambo NishawehukA/
Una cat walk km Odemba ama watoto wa kipemba
Sema "hujatulia" Ray c na temba kitambo washanena km Papa wemba/
Twende mtoko nikununulie karanga na ubuyu we Mtoto
Nikupe show sokomoko km ni mapacha umuite na wako Doto/
Ushanichafua nakupenga ka kamasi kwenye Pua/
Njoo single ama kikosi nina Barz zisizoisha km isiDingo so utaDunda km Utosi...
[HASHTAG]#KiDogo[/HASHTAG]
Post sent using JamiiForums mobile app
Haya ndo maajabu ya tecno y3 /Kuwafunika fake rappers namna hiiMzee baba umefanya freestyle na tecno y3,
Umesogeza pua nakuchapa kama star Bruce lee,
Mistari dada urembo mwingi walimbwende Blu 3,
Unajitahidi kukaza nakulegeza kwa mistari tata ka hii,
Nina michano baba yako mama ipitishe kushoto,
Hiki kichwa kimevurugwa kabla ya kujulikna msokoto,na msoto,
Unaotamba nao wakati we mweupe ka kiparangoto,
Songa ugali tule, ruka ruka hpa kipigo hevi utarudi shule,
Kichwa chako boksi sipokei hata nikigewa bure
Hizi lyrics tamu ka mwanafunzi na kitabu cha Nyangwine,Haya ndo maajabu ya tecno y3 /Kuwafunika fake rappers namna hii
Kwa elimu ya mtaa nina degree/Kwa uandishi nmetukuka ka Dr chacha mwenye phd
Utabaki kua twicee ,CO ntabaki kua me/nazd kutupa mawe ya mistar mana game now iko under me
Waambie hawatoweza,hata wakiandika kingereza/ nmejitosheleza,nna flow zenye uwezo wa kuchange weather
Sent using Jamii Forums mobile app
The gas ni bad number/mamluki hamruki kambaHizi lyrics tamu ka mwanafunzi na kitabu cha Nyangwine,
Kimistari huniwezi njoo tushindane kwingine,
Rapa mchovu up hoi nipo hai nipo high hizi swaga usipime,
Nililegeza nati za wenzako hawataki kuniona tena,
Umeuvagaa mziki kaza lyrics mi nakukaza we learner,
Unaandika shit huna hit vina chenga kama hoja za Werema,
Nimepunguza dozi hauniwezi niquote niongeze tena
Siwezi kubipu huu mzuka ni wa kifurushi cha mwezi,The gas ni bad number/mamluki hamruki kamba
Mnaobeep nikipga mnadai ni wrong number/tetele sikuvizii naku alert kwa pumba
Cna muda wa kuuliza who is real ,who is fake/ukinisnitch nakukill kwa rhymes kudadeki
Am more than heavyweight makonde ka mywather/jilete nikupakate ka marlow ntakubembeleza
Sent using Jamii Forums mobile app