Wapi nimeandika nakupenda?
Mie na wewe nani asiyejua kusoma?
Nikupende wewe mwenye sura nzito na kavu kama uvungu wa pummbu?
Mie mzima.
Ila sidhani kama wewe una uzima maana kubishana na mtoto wa kike tena kwa kuchambana basi kuna walakini.
Kama sio mwenzetu...basi mwenza wa mtu.
Hahahhahhajajajaj.......
Vumilia tu brooo.....ndo tulivyo sisi.
Wala hayajanishinda.
Kama vipi tunaweza kwenda mpaka round 50 bro.
Mchawi chaji na bando
Wacha nikomae na box hapa kwa malkia,niwatakie kila la kheri kwenye party yenu,amani itawale na Mungu awalinde,Mungu akipenda in sha Allah next time i'll join u guys,
Good luck.
Wacha nikomae na box hapa kwa malkia,niwatakie kila la kheri kwenye party yenu,amani itawale na Mungu awalinde,Mungu akipenda in sha Allah next time i'll join u guys,
Good luck.