Kuna pipeline huko watu wamepiga dola bilioni moja wamegawana, habari ikija kubumbuluka wabongo watazimia.Hizi habari za escrow zitaonekana kama pesa ya kumpa mtoto anunue njugu.
Pia watu wanachimba mafuta off of Mtwara mwaka wa pili huu, sie tunaambiwa wanafanya "exploration".
Shilingi bilioni moja hela ya mtoto wa Rugemalira kufanya shopping ya weekend tu hiyo.
I am talking USD.
Mwenye ukurasa huo nauomba tafadhali!
Rejea: "Kufuatia kupokea nyaraka hizo, Rais Kikwete ameelekeza kuwa Ripoti ya CAG iwekwe hadharani kwa ajili ya umma kuweza kuisoma na kujua nini hasa kimesemwa na kupendekezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Rais Kikwete ameelekeza kuwa Ripoti hiyo itangazwe kwenye magazeti yanayosomwa na watu wengi na kwenye mitandao ya kijamii, ili Ripoti hiyo iweze kupatikana kwa Watanzania wengi" - Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais [9 Desemba 2014]
Asanteni, nimeshaipata, kumbe ni zile za wakati ule tulizoambiwa zimenyofolewa!
Ndugu Invisible , tafadhali ziweke pamoja hapo kwenye ukurasa wa kwanza kabisa na sio huko katikati au uziunganishe kabisa na ripoti yote kwenye ambato maana hazimo humo (i.e. ukurasa wa 14 na 24 na pengine zile zingine za mwisho ambazo bado sijazifikia nazo hazimo)
basi kura yangu naipigia ccm kama walikosea
basi kura yangu naipigia ccm kama walikosea
basi kura yangu naipigia ccm kama walikosea