JF detox... Time šŸ““

Elevenn

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
9,775
Reaction score
19,437
Kuna watu wanahisi jf haiko addictive.
Lahaula, hata hii ni social media platform kwa kivuli cha forum

Nahisi sasa ni muda wangu kutoka, for some time... I need to recharge.

My team si outšŸ‡µšŸ‡¹, I feel lethargic na naona it's good to have a break. Also jf is taking a huge amount of my time, I need to find balance..

So leo itakuwa siku ya mwisho then kuanzia kesho, I'll be having some me time and my family, the people I take for granted. Na ndo wanijuao mimi kuliko online anonymous strangers.

So if na wewe unahisi kuchukua hii challenge, take it, this place can be addictive pia just like Instagram and other platforms...

Growth needs both recharging and participating.
 
Gentleman,
uliingia kwa hiyari yako na dhamira yako bila mayowe, na ni vizuri ukaondoka kwa hiyari na kwa dhamira yako bila mayowe na itapendeza zaidi šŸ’
 
Ukiona unataka kufanya maamuzi ambayo unaweza kuyafanya bila kumshirikisha mtu yeyote na isiwe na impact yeyote ila ukaamua kushirikisha watu bas uwezekano wa kufanikisha hilo jambo ni mdogo, we njoo tu na ID yako nyingine acha kuzuga.
 
Ukiona unataka kufanya maamuzi ambayo unaweza kuyafanya bila kumshirikisha mtu yeyote na isiwe na impact yeyote ila ukaamua kushirikisha watu bas uwezekano wa kufanikisha hilo jambo ni mdogo, we njoo tu na ID yako nyingine acha kuzuga.
I live my words mkuu na nikiyaweka wazi kama hivi huwa inakuwa obligation kwangu kuyatimiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…