JF Chat: All members chat

Yani nikiwa mdogo nilikua mdadisi mno , nilikua kwenye majaribio ,ila siku hizi ule udadisi sijui umeishia wap huwenda ningegundua ata balbu ya tofauti.
Kwahiyo ulivyowapaka pilipili ulitaka kugundua nini kwenye chululu zao?
 
Dah huwezi kuamini kitu kwa mara ya kwanza nilianza kufanya nikiwa chuo mwaka wa pili๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Story nzuri sana hii
Uliiombaje? Hukutetemeka hukupiga kelele ulivyotoa uji?
 
Weuweeeee...!๐Ÿคธ
Kucha hazikukatika sasa?
Yani huwa tunachomeka vile vidole vya miguu kwa kingo za kitanda , hata kucha ikitoka hauna habari๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ