na staha nikunde mwenyewe..!na staha nikunde..? kuchamba wenzako tu kutoa namba aaaahh!
Utakuwa unapenda ugali km mm πjapo wali nakula yaaan mchele wa June mwishoni kilo 10 nikagawa 3 hizo sita had Leo hazijaisha zimebaki km kilo mbili hivi πππYeah nipikie nguna! Wali sijui kwanini unanishinda kula
Sawa mwenye nyumbasawa tuliza komwe usiniharibie asali nataka kulina!
Kumbe ephen ana komwe π€£π€£sawa tuliza komwe usiniharibie asali nataka kulina!
Mimi kwa mwaka wali nakula haizidi mara 10Utakuwa unapenda ugali km mm πjapo wali nakula yaaan mchele wa June mwishoni kilo 10 nikagawa 3 hizo sita had Leo hazijaisha zimebaki km kilo mbili hivi πππ
Yaani humu nabaki kucheka kila umbo ninalo mimiππKumbe ephen ana komwe π€£π€£
Ni vizuri mm kwetu pekeyangu ndo sipend wali mamaang hata ale kutwa mara TatuπMimi kwa mwaka wali nakula haizidi mara 10
Csta angu anapenda wali, mimi na mama ugali sasa nilikua nikigombana na csta naenda kwa mama namwambia tupike ugali dagaa na bamia vyote csta angu haliNi vizuri mm kwetu pekeyangu ndo sipend wali mamaang hata ale kutwa mara Tatuπ
Mdogowangu zamani tukipika ugali jioni alikuwa analia π€£π€£π€£
Andika kwanza vizuri. Nikuoe sio nikuwowe πAaliyyah nataka uwe mke wangu nikuwowe nile mapishi yako mke wangu vipi upo tayari mpenzi wangu laaziz..??
nikubali kwanza naahidi nitakuwa pepo yako ya duniani no stress,ukiomba pesa ni cash,ukitaka na mimba fresh!. nitakula hiyo nyamnyam bila dhamana wala kesi!Andika kwanza vizuri. Nikuoe sio nikuwowe π
Alafu mpenz Wang na laaziz Lina maana moja π
Suala la kula inategemea na Hela inayoachwa mezani
π€£π€£π€£π€£Hatari sana Huwa wanakera sana ikifika jioni utasikia Leo vipi Sasa cista akija kwangu namwambiaga kupangiwa sitaki utakula ulichokikuta π€£π€£π€£Csta angu anapenda wali, mimi na mama ugali sasa nilikua nikigombana na csta naenda kwa mama namwambia tupike ugali dagaa na bamia vyote csta angu hali
Basi ataanza kuliaππ
Wacha wee πnikubali kwanza naahidi nitakuwa pepo yako ya duniani no stress,ukiomba pesa ni cash,ukitaka na mimba fresh!. nitakula hiyo nyamnyam bila dhamana wala kesi!