JF Chat: All members chat

Nimekumiss! Kitimoto lini
Miss you too.
Hicho kitimoto kimeshapepea yani hapa tufikirie new year maana huu mwaka tunaforce sana hadi mwaka wenyewe unatushangaa kama tupo kwenye right mind. Bongoo kweli bora uondoke ephe๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Miss you too.
Hicho kitimoto kimeshapepea yani hapa tufikirie new year maana huu mwaka tunaforce sana hadi mwaka wenyewe unatushangaa kama tupo kwenye right mind. Bongoo kweli bora uondoke ephe๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Natafuta ndugu maenje huko nikazamie๐Ÿ˜‚
 
Weuweeee! Kumbe tupo US ila hapa hatuko free kubonga!
Basi nakuja kule tupange mambo yetuโ˜บ๏ธ
We furahia tu maana unaweza kukuta min -me ni dealer wa figo na kongosho kutoka Africa. Unaenda US kutafuta maisha ila mwisho wa siku unampa mtu mwingine maisha๐Ÿ˜
 
Unaweza zamia bila hata ndugu andaa m 10 tu kabla hiyo pesa haijakata kupata kazi ni chap
Professional works au zile za hand to mouth na kupiga picha kwenye city parks ๐Ÿ˜
 
Tafuta tu scholarship au umuombe ushauri mange jinsi ya kupata mubaba wa kizungu. Mbona chaap ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Itabidi niongee na ndugu yangu Fanton Mahal anitafutie scholarship maenje
We furahia tu maana unaweza kukuta min -me ni dealer wa figo na kongosho kutoka Africa. Unaenda US kutafuta maisha ila mwisho wa siku unampa mtu mwingine maisha๐Ÿ˜
Min me ni mtu mzuriii sanaaa kama wewe hawezi fanya hivyo
 
Hivi kumbe mimi ni mtu mzuri ๐Ÿ˜
Hii compliment itakuwa imekuja kwa udhamini wa brother ivan
Yes! ๐Ÿ˜‚
Alisema mengi muhimu wewe ni mtu mzuri nikiongea sana itakua umbea๐Ÿ˜‰
 
Hii
Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.

Say hi to everyone and every time we will be there.


We chat..

Hello jf..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ