JF Beyond Keyboards in DSM what's uuuup?

JF Beyond Keyboards in DSM what's uuuup?

Mimi ni mgeni wa dar kwa muda wiki tano toka sasa, mkikutana nitapenda kujumuika nanyi.
 
Bora uje huku HQ........mambo si kama zamani........kuna mapya mengi.......tueleze ni lini unakuja rasmi

uandaliwe Valuer chupa 8 na kuku kienyeji choma, chemsha, supu utumbo wa mbuzi.....
 
Naona Arusha Branch ya HQ Dar es Salaam wameanza kuwa na kiburi
 
Likuyu[URL="https://www.jamiiforums.com/members/likuyuseka.html" said:
[/URL]seka;2287260]Mimi ni mgeni wa dar kwa muda wiki tano toka sasa, mkikutana nitapenda kujumuika nanyi.


Mkuu usije na hizi pembe tunaangalia usalama wa watu
 
Hahahaaa!
Tumekwenda beyond keyboard long time mzazi ndo maana huoni mialiko kivile. Tupo stage nyingine.

Wana Arachuga, ni ruksa kupata update za vichwa vya dar and all that has happened tangu tulivyokuja kuwatembelea vijana wa Arachuga december last yr.

Ni kweli tumekuwa chini ya zulia kiaina, lakini ni kwa sababu maalumu.

Kwa update zaidi, pm mimi, teamo, gy, au mwanajamiione.

Onyo: Msimtafute Asprin, atakuwa amelewa hataweza kuwajibu, onyo hili litadumu kwa mwezi mmoja tu.

Duh... mkuu wewe ni nabii, yaani ulitoa onyo kama unajua vile watakupa one month kifungoni

Aisee
 

Attachments

  • scared_homer.gif
    scared_homer.gif
    5.3 KB · Views: 72
Kila siku sikuuu, sisi wana JE SACCOS tunakutana nakula bata kwa kwenda mbele. Sijui nyie agenda zenu zilikuwaje? kukutana ili muuziane sura au la?
 
JF Saccoss inaendeleaje?
Naombeni mnipe u-MD!
 
Tunakutana mpwapwa j2, sa 12asbh. Karibuni. Kwa maelezo zaidi wasiliana na husninyo.
 
Back
Top Bottom