Uzi mtamu huu,big up kamusokoUzi mpya wa Young African ni huu hapa.View attachment 792170
Umekaa kizamani flan hvHuo uzi mbona kama wa Asernal wa kitambo kileeee....!!!
Au macho yangu ya makengeza
Tshabalala mbona kama hana raha,vp uko msimbazi mishahara tayari kweli?
hakika mkuu.Mambo ni moto
naona umeamua kumvisha na cheo mwenywe.nilidhani arsenal ya sir wenger