Ila Germany ni hatari wazee mimi naona wangepambana bila kuwa na allies yaani nchi moja tu ipambane na nchi nyingine mfano Germany against U.S sidhani kama U.S angekuwa Superpower saa hii.
Ndio binadamu alivyo na haitokuja siku abadilike, ukiwa msomi wa historia yaani hii picha ni cha mtoto, kuna matukio yalitendeka na yanaendelea kutendeka, maovu ya ajabu ajabu.
Ila Germany ni hatari wazee mimi naona wangepambana bila kuwa na allies yaani nchi moja tu ipambane na nchi nyingine mfano Germany against U.S sidhani kama U.S angekuwa Superpower saa hii.
Tatizo area of battle ingekuwa wap , kiuhalisia no possibility ya battle kat ya German na USA ingetokea ,mana hata makoloni yao yalikuwa far away , unless Germany kama angeamua kutanua Pacific kitu ambacho Japan alikuwa anakifanya , na Japan alikuwa mshirika wa Germany na ndicho kilicholeta battle crash kat ya USA na Japan , .... Intervention ya USA against Germany totally ilikuwa to help England and to cutoff Germany supply for Japan....