Jeuri ya mwanamke inaexpre baada ya muda gani

Jeuri ya mwanamke inaexpre baada ya muda gani

manyovu 1

Senior Member
Joined
Jan 14, 2016
Posts
141
Reaction score
57
Habari zenu wanajamvi kuna mabinti kama wawili miaka hiyo ndio nimeingia umri wa kujua warembo, mmoja alinitoa kwa majibu ya dhihaka kana kwamba mm sio binadamu kama yeye, mwingine akawa anipahope baadaye nikajagundua analiwa na jamaa mmoja ambaye kipindi hicho nilikuwa namchukulia kama brother yangu, basi mm nikauchuna ila nikaweka nadhili kwamba Hawa mabinti katika maisha yangu lazima nije niwavue chupi kwadharau walizonionyesha nakweli nikafanikiwa kuwavua chupi baadaye, sasa nauliza je kipindi nawavua chupi walikuwa wamesahau jeuri na matusi walizonionyesha au walikuwa wameshuka thamani? Wanajam
vi naomba mnisaidie
 
Mw

Mwanaume
Nadhiri za kipuuzi na wewe mpuuzi nawewe umeona umeandika thread kabisa hivi nyie wanaume wa karne hii nna shida gani? Wewe Utakua form four uliepata Four ya Tisini na tisa mwangalie pua yake
 
Huyo Ni mvulana SI unajua tena siku wanaume wanazid kuwa wachache, tupa kule
Hivi kila Mtu aeleze waliomkataa na baadae akawadinya ni akili kweli ? Mimi akiwa kakangu mwenye akili kama hawa namkana jamani ni nini hii?
 
Hizo Ni zil
Hivi kila Mtu aeleze waliomkataa na baadae akawadinya ni akili kweli ? Mimi akiwa kakangu mwenye akili kama hawa namkana jamani ni nini hii?
Ni zile four. Za GPA, Manake Ni hewa tupu
 
Nadhiri za kipuuzi na wewe mpuuzi nawewe umeona umeandika thread kabisa hivi nyie wanaume wa karne hii nna shida gani? Wewe Utakua form four uliepata Four ya Tisini na tisa mwangalie pua yake
Mbona unatoa povu, jibu ulichoulizwa au na wewe nimiongoni mwa wale walikuwa na jeuri ila Kwa sasa unagawa mechi za ugenini?
 
Mwanamke akikuzid level na kipato anakuwa na jeur na ww enz hizo inaonekana ulikuwa bado sana wangeendelea vizur kwa kipato usinge wavua chup walicheza vbaya ungebak kuwaskia tu
 
Mbona unatoa povu, jibu ulichoulizwa au na wewe nimiongoni mwa wale walikuwa na jeuri ila Kwa sasa unagawa mechi za ugenini?
Poleee ... Hakuna cha kujibu umeandika upuuzi ndio maana ila si mbaya ila Ngoja wavulana wenzio waje(wanaume hawawezi changia upuuzi) sorry kwa povu am out [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji126]
 
Hivi kila Mtu aeleze waliomkataa na baadae akawadinya ni akili kweli ? Mimi akiwa kakangu mwenye akili kama hawa namkana jamani ni nini hii?
Una kukataa Kwa kawaida, mwingine anakukataa na matusi juu a mpaka unajihisi vibaya
 
Una kukataa Kwa kawaida, mwingine anakukataa na matusi juu a mpaka unajihisi vibaya
Hata kama ni Matusi si kaamua kukukataa kwa njia hiyo sasa wewe unaenda kudinya kama kaukwaa au migonjwa ya zinaa huko kujiwekea nadhiri za kijinga hivo? Sasa umepata faida ipi...

Afu Mie nashangaa wanawake kwa wanaume yanini kila Mtu aujue mwili wako jamani ( naongelea wanaovua na kuvaa kwa makusudi?)
Sio Hata sifaa
 
Nadhiri za kipuuzi na wewe mpuuzi nawewe umeona umeandika thread kabisa hivi nyie wanaume wa karne hii nna shida gani? Wewe Utakua form four uliepata Four ya Tisini na tisa mwangalie pua yake
hahaha ......asante mkuu....stress free
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom