Jeshi moja mara tatu,lipi ni muhimu

Jeshi moja mara tatu,lipi ni muhimu

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,481
Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.


Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu.
je mgawanyiko huu ni lazima?

Jeshi la nchi kavu
jeshi la angani
jeshi la maji
je ni lazima kila nchi kuwa na mgawanyo huu?,vipi kwa nchi amabzo hazina bahari wala ziwa wala mito,ni lazima kuwa na jeshi la wanamaji?
je kama nchi ni kisiwa imezungukwa asilimia miamoja na maji ni lazima kua na jeshi la ardhini? au ni lazima kuwa na jeshi la angani?

je katika haya makundi matatu,yaani jeshi la ardhini,wanamaji na angan, jeshi lipi ni muhimu,ni bora na lazima kuwa nalo?kama nchi ikiamua kubaki na jeshi moja.
 
jeshi la nchi yoyote ile duniani lipo kwaajili ya maslahi ya kiulinzi na kiusalama ya nchi husika ndani na nje ya nchi hiyo,nchi inaweza ikawa haina bahari wala ziwa,lakini ikahitajika operation ambayo ni kwa maslahi ya nchi hiyo lakin hiyo operation inahitajika kuvuka ziwa,au ikahitaji kufanyika ziwani au baharini,unadhani land force au air force watahitajika au watahitajika navy???kwa mfano,tuseme Tanzania haina ziwa wala bahari,halafu ikatokea watanzania wametekwa na kwenda kufichwa kisiwa cha Comoro,ni navy au landfoce watakaohitajika???kwahiyo aridhi,anga na maji lazima vyote viwe vimekodolewa na jeshi maana vyote ni entry na exit points za kila nchi,obeja sana
 
Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.


Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu.
je mgawanyiko huu ni lazima?

Jeshi la nchi kavu
jeshi la angani
jeshi la maji
je ni lazima kila nchi kuwa na mgawanyo huu?,vipi kwa nchi amabzo hazina bahari wala ziwa wala mito,ni lazima kuwa na jeshi la wanamaji?
je kama nchi ni kisiwa imezungukwa asilimia miamoja na maji ni lazima kua na jeshi la ardhini? au ni lazima kuwa na jeshi la angani?

je katika haya makundi matatu,yaani jeshi la ardhini,wanamaji na angan, jeshi lipi ni muhimu,ni bora na lazima kuwa nalo?kama nchi ikiamua kubaki na jeshi moja.
Huna jeshi la wanamaji kisa wewe hauzungukwi na maji, ukivamiwa na Nchi ambayo ni kisiwa utafanyaje?
 
jeshi la nchi yoyote ile duniani lipo kwaajili ya maslahi ya kiulinzi na kiusalama ya nchi husika ndani na nje ya nchi hiyo,nchi inaweza ikawa haina bahari wala ziwa,lakini ikahitajika operation ambayo ni kwa maslahi ya nchi hiyo lakin hiyo operation inahitajika kuvuka ziwa,au ikahitaji kufanyika ziwani au baharini,unadhani land force au air force watahitajika au watahitajika navy???kwa mfano,tuseme Tanzania haina ziwa wala bahari,halafu ikatokea watanzania wametekwa na kwenda kufichwa kisiwa cha Comoro,ni navy au landfoce watakaohitajika???kwahiyo aridhi,anga na maji lazima vyote viwe vimekodolewa na jeshi maana vyote ni entry na exit points za kila nchi,obeja sana
Lol Asante Sana Mkuu,umefafanua vema Sana.
 
Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.


Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu.
je mgawanyiko huu ni lazima?

Jeshi la nchi kavu
jeshi la angani
jeshi la maji
je ni lazima kila nchi kuwa na mgawanyo huu?,vipi kwa nchi amabzo hazina bahari wala ziwa wala mito,ni lazima kuwa na jeshi la wanamaji?
je kama nchi ni kisiwa imezungukwa asilimia miamoja na maji ni lazima kua na jeshi la ardhini? au ni lazima kuwa na jeshi la angani?

je katika haya makundi matatu,yaani jeshi la ardhini,wanamaji na angan, jeshi lipi ni muhimu,ni bora na lazima kuwa nalo?kama nchi ikiamua kubaki na jeshi moja.
Aiseee chalii yangu mimi sijui
 
Kwa hiyo ambao hawana maji wanalazimika kufanya mafunzo nje ya nchi yao
 
Nafikiri bado hamjamuelewa mleta mada, yeye anauliza kuwa nchi kama Botswana inawezaje kuwa na Navy force wakati maji yapo mbali sana kwake au atapaki meri zake kwenye nchi zingine
africa-map.gif
 
Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.


Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu.
je mgawanyiko huu ni lazima?

Jeshi la nchi kavu
jeshi la angani
jeshi la maji
je ni lazima kila nchi kuwa na mgawanyo huu?,vipi kwa nchi amabzo hazina bahari wala ziwa wala mito,ni lazima kuwa na jeshi la wanamaji?
je kama nchi ni kisiwa imezungukwa asilimia miamoja na maji ni lazima kua na jeshi la ardhini? au ni lazima kuwa na jeshi la angani?

je katika haya makundi matatu,yaani jeshi la ardhini,wanamaji na angan, jeshi lipi ni muhimu,ni bora na lazima kuwa nalo?kama nchi ikiamua kubaki na jeshi moja.
Jeshi sio kwa ajili ya nchi yako tu,unaweza ukahitajika kwenda kupigana baharini au angani ni lazima.uwe na maandalizi kwenye nyanja zote
Nchi nyingi zina huo.mgawanyiko lakini huwa bora kwenye eneo moja mfano sisi jeshi la ardhini/nchi kavu tupo viwangonvya juu sana
 
Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.


Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu.
je mgawanyiko huu ni lazima?

Jeshi la nchi kavu
jeshi la angani
jeshi la maji
je ni lazima kila nchi kuwa na mgawanyo huu?,vipi kwa nchi amabzo hazina bahari wala ziwa wala mito,ni lazima kuwa na jeshi la wanamaji?
je kama nchi ni kisiwa imezungukwa asilimia miamoja na maji ni lazima kua na jeshi la ardhini? au ni lazima kuwa na jeshi la angani?

je katika haya makundi matatu,yaani jeshi la ardhini,wanamaji na angan, jeshi lipi ni muhimu,ni bora na lazima kuwa nalo?kama nchi ikiamua kubaki na jeshi moja.
Yote yana umuhimu Chifu, yamejitenga kwa ajili ya specialization tu.
 
Back
Top Bottom