Agent-47
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 783
- 2,780
Kitendo cha jeshi kuwalinda waandamanaji kimelipatia jeshi heshima ya kiwango cha juu sana. Nina hakika, kitendo hiki kitawafanya Gen Z watamani hata kujiunga na jeshi letu. Hakika jeshi ni taasis ya kizalendo. Kongole makamanda wetu.
Leo hata nikiambiwa inatakiwa kodi % flani ya kuwalipa wanajeshi, akaah, yanini nisitoe mie?. Natoa 😀
Leo hata nikiambiwa inatakiwa kodi % flani ya kuwalipa wanajeshi, akaah, yanini nisitoe mie?. Natoa 😀