Account yako imedukuliwa?
Wewe Hawajudukua account wa wamedukua akili
Account yako imedukuliwa?
Wakati wa amani ulikuwa unataka liwe linafanya nini?? Kumbuka kuwa hili ni Jeshi la Wananchi na ni sawa sawa kwake kutumikia wananchi hasa pale inapohitajika.Hili swala la ununuzi sijui usombaji wa korosho siyo jukumu la jeshi letu.
Dunia inashangaa kuona jeshi letu badala ya kulinda mipaka ya nchi linatumika kuwatisha raia na mali zao.
Hatukununua magari ya jeshi Kwa ajili ya kusomba korosho ambazo hata hatuja ambiwa zinasombwa kupelekwa wapi.
Kuliingiza jeshi kufanya kazi ndogondogo kama hizo ni kulidhalilisha jeshi letu.
Huenda Amri jeshi hajui muda wa kukagua magari na kutembelea jeshi, ni ule muda ambao Nchi ipo kwenye hatari ya kuvamiwa.
Unapotembelea jeshi Kwa minajili ya kununua korosho tunakua na mashaka na nia yako.
Tulipe jeshi letu heshima.lina kazi kubwa ya kufanya Kwa ajili ya kulinda mipaka ya nchi yetu siyo kusomba sijui kubangua korosho.
Tusitumie jeshi letu kisiasa.
Hao ni laymen, don’t waste your energy walahiUnayetumika vibaya ni wewe either kwa kujua au kutojua,
Jeshi linatumika kubeba korosho tu, jambo ambalo ni la kawaida sana sasa sijui huu wasi wasi mnaotaka kuonesha kuwa upo unalenga nini hasa
Kwanza huyu mtu hakukagua magari wala nini alienda kuyaangalia tu yale magari maana yeye sio vehicle inspector kiasi kwamba ajue akague nini na nini kwenye hilo gari alitaka sifa tu maana hana uelewa wa kukagua magari wala nini
we new member shika adabu yako,badala ya kumwambia mleta mada aliyekurupuka akidhani wanajeshi wote wanaenda kubeba korosho unakuja kuniletea ujinga?Fikiria bas hata kidogooo
Wee ndo huelewi. Siku zote mjibu mtu kulingana na uwezo wake wa kufikiri.huyu analeta story za vijiwe vya kahawa