Jeshi la Venezuela latoa tamko. Lasema kitendo cha Marekani ni kinaashiria "uoga" na Venezuela itaendelea kulinda watu wake

Jeshi la Venezuela latoa tamko. Lasema kitendo cha Marekani ni kinaashiria "uoga" na Venezuela itaendelea kulinda watu wake

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Hii ni ishara kuwa bado kutakuwa na safari ndefu ya mkanganyiko ndani ya Venezuela. Jeshi tiifu kwa Maduro. Wapinzani hawakubaliki na wananchi

Makamu wa Rais anakosa nguvu za kisheria kufanya makubaliano yoyote.
Yaani ni kama Kongo nyingine hivi.

-------------------

Jeshi la Kitaifa la Venezuela limetoa tamko rasmi likilaani vikali kile ilichokitaja kuwa utekaji nyara wa rais Nicolás Maduro Moros na mke wake Cilia Flores, tukio lililodaiwa kutokea Januari 3, 2026, na kuhusisha mauaji ya walinzi wake, wanajeshi na raia wasiokuwa na hatia.

Katika tamko hilo, Wizara ya Ulinzi imesema Mahakama ya Juu ya Katiba imemteua makamu wa rais Delcy Rodríguez kuwa rais wa mpito, huku serikali ikitangaza hali ya hatari ya usalama wa nje nchini kote.
Jeshi limesema litaendelea kuhakikisha utawala wa nchi, kulinda amani, kudumisha usalama wa ndani na kukabiliana na kile ilichokiita uchokozi wa kibeberu, likisisitiza kuwa lipo tayari kwa ulinzi wa taifa, uhuru na mamlaka ya Venezuela.


heyyy.jpg
 
Hii ni ishara kuwa bado kutakuwa na safari ndefu ya mkanganyiko ndani ya Venezuela.
Jeshi tiifu kwa Maduro
Wapinzani hawakubaliki na wananchi
Makamu wa Rais anakosa nguvu za kisheria kufanya makubaliano yoyote.
Yaani ni kama Kongo nyingine hivi.
Wajipange kujenga Venezuela mpya. The mazafaka ain’t coming back!
 
Muhimu tu ni kuwa US hanyonyi futa ndani ya Venezolana, lazima kiwake kama Somalia
Kumchukua yule dereva wa basi, haimaanishi wameshika nchi, kama wanaweza waingize jeshi ndani tuanze na nyuzi mpya kila kukicha za vifo vya mashoga
 
Hii ni ishara kuwa bado kutakuwa na safari ndefu ya mkanganyiko ndani ya Venezuela. Jeshi tiifu kwa Maduro. Wapinzani hawakubaliki na wananchi

Makamu wa Rais anakosa nguvu za kisheria kufanya makubaliano yoyote.
Yaani ni kama Kongo nyingine hivi.

-------------------

Jeshi la Kitaifa la Venezuela limetoa tamko rasmi likilaani vikali kile ilichokitaja kuwa utekaji nyara wa rais Nicolás Maduro Moros na mke wake Cilia Flores, tukio lililodaiwa kutokea Januari 3, 2026, na kuhusisha mauaji ya walinzi wake, wanajeshi na raia wasiokuwa na hatia.

Katika tamko hilo, Wizara ya Ulinzi imesema Mahakama ya Juu ya Katiba imemteua makamu wa rais Delcy Rodríguez kuwa rais wa mpito, huku serikali ikitangaza hali ya hatari ya usalama wa nje nchini kote.
Jeshi limesema litaendelea kuhakikisha utawala wa nchi, kulinda amani, kudumisha usalama wa ndani na kukabiliana na kile ilichokiita uchokozi wa kibeberu, likisisitiza kuwa lipo tayari kwa ulinzi wa taifa, uhuru na mamlaka ya Venezuela.


View attachment 3525415
Debe tupu haliachi kupiga kelele! Rais anachomolewa katika nchi yetu, bado mnajiita ni jeshi? Na mtawafanya nini hao waliowadhalilisha? Hakuna mtakachofanya.
Tukigeuza shilingi, ni sawa na jeshi letu la Tanzania, kuua raia wasio na hatia wasio na silaha, huku bado likijinasibu ni jeshi la kulinda wananchi na mali zao! Ni yake yake ya debe tupu, halina weledi, halina nidhamu, na lisilojua wajibu wake!
 
Muhimu tu ni kuwa US hanyonyi futa ndani ya Venezolana, lazima kiwake kama Somalia
Kumchukua yule dereva wa basi, haimaanishi wameshika nchi, kama wanaweza waingize jeshi ndani tuanze na nyuzi mpya kila kukicha za vifo vya mashoga
Uko Dunia gan mzee!Hadi tunavyoongea jeshi la USA Bado lipo ndani ya Venezuela.Trump kasema halitaondoka,linafuatilia kuona utawala mpya kama utaingilia maslahi yake
 
Huo utayari haukuonekana wkt delta force wanaingia venezuela mpk ikulu na kumchukua rais ndo uje uonekane leo na ulivyo sengerema unaleta lugha za kiccm eti wapnzan hawakubariki mamamaeee wallah.
Yaani hao ndiyo tafsiri sahihi ya watu wasenge.
 
Back
Top Bottom