Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji

Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji

Wale Wana
We bwana umenikumbusha kitu,mjomba aliwahi nisimulia kuhusu comando wa Congo ni balaa wale wana uwezo mkubwa sana nasikia basi tu sijui inakuaje pale
Practice Muda mwingi pia ni wataalamu sana wa ndumba.

Kuna kipindi askali wa Tanzbatt one ya FIB MONUSCO ili lazimika wafundishwe jinsi ya kuviua vidono ili kupambana na M23 12/13

Nakumbuka Luteni general Frank Mwakiborwa retired. Aliwaambia atapigana nao Kwa silaha kubwa, akimaanisha Mizinga na makombola.
 
Pia hizi mission za kikanda na kijumuia, zinasaidia sana kuwajenga askali kiuwezo na uzoefu. Hata vikosi maalumu Muda mwingi wanafanya recycle ya askali na maafisa ktk mission mbali mbali.

Inasaidia kuwa active Kwa experience zaidi. Hata ukiangalia mission anazoenda JW huwa ziko complicated.

Msumbiji askali wa Sa walilazimika wawe Wana tembea na JW Kwa kigezo Cha kuzijua jamii na tamaduni za watu wa northern Nchumbiji.

Hata wanao ilinganisha Rwanda na SAMIM ni kuto kuelewa dhima na malengo. Rwanda hawaendi kupambana na magaidi Bali wao wanalimda zile sehemu za mradi wa total. Na kama wanaingia mtaani huwa wanakua na askali wenyeji. Nafikiri ni kwaajili ya buffer zone. Kuto subiri adui akufikie ulipo. Ila kazi za kumsaka adui zimefanywa na SAMIM.

Botswana na Zambia walipeleka askali kutimiza tu wajibu na maswala ya kiutawala ila huko porini kazi ilifanywa na JW,SANDF,NA ANGOLAN ARMY.
 

Attachments

  • 2023-03-03-iss-today-samim-patrol-banner.jpg
    2023-03-03-iss-today-samim-patrol-banner.jpg
    216.8 KB · Views: 29
Hiyo Project ya Total Mozambique ni zaidi ya Dola za Kimarekani Billioni 30 Mozambique itafaidika na huo mradi ni pesa nyingi sana Askari wa Rwanda walipwe Direct na Total ili Gesi ichimbwe ipelekwe sokoni
Hapa hatutafiti mshindi ila kueleza fact.
Kikosi cha RDF kilipelekwa Msumbiji kwa makubaliano kati ya Serikali ya Msumbiji na Rwanda

Wakati huo tayari vikosi vya awali vya SADC vilikuwako huko kaskazini ya mkoa wa Cabo Delgado kwa zaidi ya miaka 2.

Hali ya kiusalama ilikiwa bado katika hali tete hali iliyopelekea makampuni ya uchimbaji mafuta kukaribia kufunga kazi kutokana na mashambilizi ya magaidi.

Jiulize swali kwa nn Philipe Nyusi aombe msaada binafsi kwa Rwanda wakati tayari amepokea vikosi vya washirika wa SADC?

Swali2. Kwanini msaada wa kijeshi iwe Rwanda na sio nchi nyingine ya Afrika?

Tafuta majibu hayo raisi sana!

Tuendelee:
Ndani ya miezi miwili RDF wakishirikiana na mwenyeji wake MDAF waliiteka ngome kuu ya waasi iliyopo kwenye mji wa bandari wa Mocimboa da Preia, mji ambao waasi walijikita kwa miaka miwili ambapo awali kabisa walishateka mji mdogo wa Awasse ulioko jirani na Mocimboa da Preia ndani ya kipindi kifupi sana.

So sio sahihi kusema eti RDF ina kazi ya kulinda tu misafara ya makampuni ya uchimbaji mafuta. RDF ilienda katika anti terror mission.

Ukweli ambao watu wanabeza na hawataki kukubali ni kuwa:

Ukiangalia mission za RDF hususan kwenye guerilla war fare utapata jibu kuwa hawa jamaa wana uzoefu sana na uwezo mpana kuliko hao SANDF.

Rejea DRC, Mozambique ambapo RDF katia mguu.
 
Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
Najua we sio mfuatiliaji ila umesikia hizo story. Lakini nawe kabla ya kuyachukua jiongeze na uchanganye na za kwako kiasi ili upate jibu sahihi.

Unataka tukuamini kwamba SAMIDRC wako DRC kutalii na sio kipigana! Kweli?

Kwa taarifa yako objective za mission za SAMIDRC na SAMIM ni zile zile kumsaidia mwanachama wa SADC kumpiga adui.

Rhamaphosa wiki hii alikuwa Rwanda uliza katoka huko na jibu gani!
 
Hii ni SAMIM bunduki Israel gear za mchina.

Mkuu kubali ukatae JWTZ ni wajuzi wa hizi kazi, Kagera war haipingiki. Ni experience inayo ishi ktk vizazi vya wapiganaji na makamanda. Kama kweli we ni mfatiliaji utajua kua hata upigaji wa Mizinga wa Tanzania ni waki Russia. Ambayo ni experience tuliyo ipata Toka enzi za harakati za ukombozi. Fatilia video zinazo onyesha askali wa Tanzania wakifanya live fire🔥. Hata Bm21 bavuor machine upigaji wa Tanzania ni ule ule wa kirusi na hata uchina upigaji wake ni tofauti na sisi.
Hao Russia wenyewe mizinga yao inadunguliwa na Ukraine
 
Huyo Rais wa msumbiji kajichnganya sana!!

Kama Hana namna bas ACHA afanye hivyo!!

Hawa wanyankole ni very optunistic sana hawa jamaa!!

Utasikia kijana was kiume was huyo Raise anaoa make was kinyarwanda ukoo wa kagame,baadae mnyarwanda anakua Raise ndani ya msumbiji!!

Itakua too late kwake!!
 
Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
UN chapter 6 and 7
 
Hao Russia wenyewe mizinga yao inadunguliwa na Ukraine
Ipi hiyo mkuu. Uudungue mzinga?. Alafu usiichukulie ukrain kizembe warusi ndio hao hao wa ukrein pia silaha za Ukraine sio za kitoto mzee.

Mifumo yote ya ulinzi ya urusi na ukrain walikua au wanayo kutoa hizi za miaka ya karibuni kuanzia toleo kama pantisir-M series kuendelea, S-400,500 na 550.
 
We acha historia ya hadithi ya vita vya Idi Amini.

Adui atakuogopa tu kwa uwezo wako kwenye uwanja wa mapambano na uwezo wa kumtia adui hasara na sio hadithi za mababu ama stori za vijiweni.

Katika medani, moja ya njia za kupata ushindi ni kutambua uwezo na nguvu za adui. Kama utakosea hesabu hizo na kutumia mazoea ya jana, hilo litakuwa kosa kubwa
.
Unasifia ujinga hapa na kuingia kwenye nchi wenye majeshi yaliyokosa nidhamu mnawaonga vipesa wanasaliti mnakuja kujisifia ujinga hapa.Ingieni na Tanzania Kama mlivyoingia congo kutumia
M23 yenu kijeshi alafu lete habari zako za kuwa idi amini ni historia tu. Na kabla hamjaingia tafuteni nchi ambayo mtampeleka uamishoni kimbaumbau kwenu.
 
Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
Na wasio jua wanawaona Rwanda na kim23 wao kuwa Wana nguvu. Hao takataka mwezi wa kwanza tu happy walifulimushwa na tz wakaanza kubweka Kama mbwa mdomo juu.
 
Unasifia ujinga hapa na kuingia kwenye nchi wenye majeshi yaliyokosa nidhamu mnawaonga vipesa wanasaliti mnakuja kujisifia ujinga hapa.Ingieni na Tanzania Kama mlivyoingia congo kutumia
M23 yenu kijeshi alafu lete habari zako za kuwa idi amini ni historia tu. Na kabla hamjaingia tafuteni nchi ambayo mtampeleka uamishoni kimbaumbau kwenu.
Bro hebu soma tena ulichokiandika.
Kabla hujachekwa uanze kijicheka mwenyewe!
 
Bro hebu soma tena ulichokiandika.
Kabla hujachekwa uanze kijicheka mwenyewe!
Sirudii kusoma usingewasifia na kutema wako vizuri kuliko walinda amani congo na msumbiji. Pia unataka Ile vita ya Tanzania na idi Amin ni historia tu maana ya historia tulikua na nguvu now hazipo. Jichanganyeni na m23. Kwani Tanzania madini hakuna? Waje si waroho wa madini.
 
Sirudii kusoma usingewasifia na kutema wako vizuri kuliko walinda amani congo na msumbiji. Pia unataka Ile vita ya Tanzania na idi Amin ni historia tu maana ya historia tulikua na nguvu now hazipo. Jichanganyeni na m23. Kwani Tanzania madini hakuna? Waje si waroho wa madini.
Kwanza nikusahihishe kidogo. Hakuna vita ya Tanzania na Idi Amin.
ile ilikuwa vita ya Tanzania na Uganda, maarufu vita ya Kagera. (1978/79)

Yawekana miaka hiyo hujazaliwa japo sio tatizo.

Hiyo inabaki kama historia kwenye kumbukumbu za nchi, jamii na makumbusho.

Zaidi ya miaka 45 iliyopita, 60% ya wapiganaji wa vita hiyo hawako hai leo hii na walio hai ni wazee sana.

Kwa miaka 45 mazingira yamebadilika sana. Teknolojia imekua kwa kasi mno na weledi umeongezeka.
Kwa mantiki hiyo hutakiwi kumchukulia powa mwenzako eti kwa historia ya jana ama juzi ama story za vijiweni.

Russia hakutarajia kama atakuwa vitani mpaka leo, alipiga hesabu ya wiki mbili leo anakweda mwaka wa tatu na Putini anajutia maamuzi yake

Israeli hakutarajia angekutana na aibu kama iliyomkuta kutoka kwa kundi la hamasi, zaidi anajutia uamuzi wake. Hii yote ni matokeo ya kushiba stori za vijiweni na kujaa sifa

Mantiki yangu sio kubeza mafanikio ya nchi yetu kwenye hiyo vita la hasha, bali ni kipinga kufananisha vita ya walati huo na vita itakayo piganwa leo hii.

Mwisho, weka ushabiki na mihemko pembeni wakati unapo chambua jambo lolote la msingi.

Mf. Kila post yangu niliyo post tangu mwazo wa uzi hui sikutumia mihemko wala ushbiki bali nimeweka data na figure kutokuwepo misheni zilizotajwa.

Unaporudi tena, tafadhali weka data badala ya historia na stori za kusadikika kutoka vijiwe.
 
Mkuu hoja ya kuitegemea south Africa sio timilifu japo Ina matter. Operation nyingi za SADEC huwa zina back up ya mataifa makubwa.

SAMIM mchina alijitolea kufund nje ya bajet ya SADEC France the same. Pia nikujuze France inafanya juhudi kubwa kuli hozi soko la silaha la Tanzania, Kwa kutaka kuipiku NATO community weapon deployed in Tanzania. Kwa Muda mrefu Tanzania wasambazaji wakubwa wa silaha walikua ni Russia,China, North Korea,UK,na turkey.

Ila kwasasa mfumo wa wa ugavi silaha wa bongo umejikita zaidi. Uchina Kwa silaha hasa land force na Navy Air for. Russia Air defense na strategy weapon hasa hasa makombola. France Air force na Navy. Israel light weapon na Uturuki Kwa bunduki na drone.

Pia Kuna masoko ya kimkakati kama. Italy Kwa transport mfano ni Iveco na Sasa tume oder C-27J Spartan 2. Kuzisaidia zile Shaanxi Y8 na An 12 zinazoenda kuretire. Amerika Kwa mifumo ya mawasiliano, India nk.

Hivyo hoja ya kusema Rwanda Wana air defense Kali sio kweli hizo unazosema, WZ551 6×6 IFV mobile SAM system. Ni silaha za kujikinga na object ndogo ndogo na zinazo fly chini chini kama helicopter na drone ambazo jeshi la congo na Un wamekua wakizitumia. Either ktk surveillance au attack Kwa waasi wa M23.

South Africa sio wazuri ktk gorilla 🦍 warfare. Ndio maana hata kimajukumu Tanzania ndio inayo hold zaidi jungle to jungle battle, pia hapo hapo ktk SAMIDRC hawapigani pamoja Kila mtu anapewa majukumu yake hivyo ukinzani wanao kutana nao M23 Kwa Tanzania hata wewe unapokea habari zake pia najua unajua south hawafanyi operation za aina hiyo wao haswa ni air attack. Halipingwi hili.

Unasema story za Kagera war wakati fact zipo mkuu. Kubali ukatae JWTZ singe wanachoma kweli kweli.
Umewapa somo zito saaana
 
Swalama wakuu!

Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC inajiandaa kuondoa kikosi chake lilichoko Msumbiji kusaidia serikali kupambana na magaidi wa kiislaam ifikapo July 15 2024 baada ya kuwa huko tangu 2018 mwishoni.

Kikosi hicho kijulikanacho kama SAMIM chenye jumla ya wapiganaji 1900 kimekuwa huko kwa lengo la kupambana na magaidi, kujenga uwezo kwa majeshi ya serikali lakini pia kuongeza wigo wa misaada ya kiutu kwa raia.

Wakati SADC wakijikusanya mdogomdogo kukusanya vikosi, rais wa Msumbiji Phelipe Nyusi mwaka 2020 alifanya ziara Rwanda na kukutana na rais Kagame na kuomba msaada wa kijeshi.

Mwaka 2021 Rwanda ilipeleka askari 1000 na ndani ya miezi 3 walifaniliwa kuiteka moja ya ngome ya waasi na kukomboa miji kadhaa kutoka milononi mwa magaidi.

Jambo la kushangaza wakati SADC wanaondoa majeshi yake kutokana na ukata, Rwanda mpaka sasa imeendelea kuongeza askari kifikia 2500 nchini Msumbiji kulinganisha na 1900 wa SADC wanaotarajiwa kuondoka ili hali bado hali ya usalama haijatengemaa kwenye maeneo wanayo yaacha kwa vikosi vya serilali


Ajabu nyingine:
Wakati SADC wakitegemea michango ya AU, China na wafadhili mbalimbali, mpaka muda huu hakuna ajuaye ni nani anagharamia oparesheni za majeshi ya Rwanda yanayo onekena kuwa na vifaa bora na vya kisasa kulinganisha na kikosi cha SAMIM kinachoundwa na askari 1900, askari 1400 wakitoka Afrika ya kusini na wengine kutoka nchi za Botwana, Angola, Malawi, Tanzania na Namibia.

Majeshi ya Rwnda yamejikita maeneo ya Acube, Montepuez na pemba kutokana na maeneo hayo kuwa shuguli za madini ya graphite na gemstones pamoja na Carbo delgado eneo lenye shughuli za uchimbaji wa mafuta pamoja na mkoa wa Palma wenye utajiri wa madini mbalimbali.

Wadadisi wanadai huenda Wanyarwanda wameahidiwa kupewa mafuta na madini kama malipo ya kazi.Raisi Nyusi ametembelea Rwanda mara nyingi kuliko nchi yeyote ya SADC. Na katika moja ya ziara Nyusi alipewa na Kagame zawadi ya shamba pamoja na ng'gombe wenye pembe kubwa.

Ukaribu usio wa kawaida kati ya maraisi hawa na operation za kijeshi zinazotekelezwa bila ya kuwapo uwazi anaegharamia oparesheni za kijeshi kwa vikosi vya Rwanda nchini Msumbiji

Pia hali ya Rwanda kujikita kimkakati na kiufanisi maeneo yenye utajiri wa madini unaleta jibu kuwa huenda wanapigania kwa moyo kile walicho kubaliana kati ya Nyusi na Kagame

Wachambuzi wa masuala ya kiusalama barani Afrika pia wanafananisha hali ya DR Congo ambako SAMDRC ina pambana na waassi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda.

Ni katika hali kama hiyo, majeshi ya waasi wa m23 yameonekana kutumia silaha bora kuliko za SADC na hata mafanikio ya kikosi cha SADC nchini DRC bado ni madogo kulingana na maadui wao.

Wakati kikosi cha SADC kinagharamiwa na UN, M23 na Rwanda haijulikani nani anawafadhili kwa kiwango kikubwa kiasi hiki kuwa na uwezo wa kukabiliana na kuwapa changamoto majeshi ya SADC.

Kwa mantiki hiyo, utaona kuwa Rwanda huwa hana masihala na eneo lolote barani Afrika ilimradi pawe na raslimali.

Pia kwa kuangalia tu mifano ya nyendo za oparesheni za kijeshi za nchi ya Rwanda nchini Msumbiji na DRC , mwenye akili anapata jibu kuwa kuna wenye nguvu wako nyuma ya nchi hii ndogo ya Afrika Mashariki.

Kwa mantiki hii, huenda amani DRC isipatikane kwa njia ya vita bali mazungumzio juu ya meza.
wewe tu ndo hujui Majeshi ya rwanda msumbiji yanafadhiliwa na nani
Ni ufaransa kulinda makampuni yake ya gesi
DRC players ni uingereza,USA na ufaransa….
Now u know
 
wewe tu ndo hujui Majeshi ya rwanda msumbiji yanafadhiliwa na nani
Ni ufaransa kulinda makampuni yake ya gesi
DRC players ni uingereza,USA na ufaransa….
Now u know
Hizo zinabaki kuwa hisia binafsi.

Fact huambatana na evidence.

Weka ushahidi wa hisia zako ili utushawishi.

Siipendi RDF ila naukubali uwezo wake kijeshi. Ni jeshi jeshi bora zaidi kwa ukanda huu wa east,central and southern africa. Takwimu za uwanja wa mapigano zinaibeba RDF
 
Hizo zinabaki kuwa hisia binafsi.

Fact huambatana na evidence.

Weka ushahidi wa hisia zako ili utushawishi.

Siipendi RDF ila naukubali uwezo wake kijeshi. Ni jeshi jeshi bora zaidi kwa ukanda huu wa east,central and southern africa. Takwimu za uwanja wa mapigano zinaibeba RDF
Umeilinganisha na nani mpaka useme ni bora zaidi?
 
Back
Top Bottom