Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 857
- 2,055
Wale Wana
Kuna kipindi askali wa Tanzbatt one ya FIB MONUSCO ili lazimika wafundishwe jinsi ya kuviua vidono ili kupambana na M23 12/13
Nakumbuka Luteni general Frank Mwakiborwa retired. Aliwaambia atapigana nao Kwa silaha kubwa, akimaanisha Mizinga na makombola.
Practice Muda mwingi pia ni wataalamu sana wa ndumba.We bwana umenikumbusha kitu,mjomba aliwahi nisimulia kuhusu comando wa Congo ni balaa wale wana uwezo mkubwa sana nasikia basi tu sijui inakuaje pale
Kuna kipindi askali wa Tanzbatt one ya FIB MONUSCO ili lazimika wafundishwe jinsi ya kuviua vidono ili kupambana na M23 12/13
Nakumbuka Luteni general Frank Mwakiborwa retired. Aliwaambia atapigana nao Kwa silaha kubwa, akimaanisha Mizinga na makombola.