Umesoma kilichoandikwa ama umesukumizwa kutoa commentKampeni zinaisha saa ngapi na sasa ni saa ngapi???Huo ni mkusanyiko usio halali,muda wa kampeni unajulikana.
Mambo mengine tuhoji kwanza kabla ya kutoa malalamiko yetu.
Umesoma kilichoandikwa ama umesukumizwa kutoa commentKampeni zinaisha saa ngapi na sasa ni saa ngapi???Huo ni mkusanyiko usio halali,muda wa kampeni unajulikana.
Mambo mengine tuhoji kwanza kabla ya kutoa malalamiko yetu.
Chadema wana Ofisi Taangu Lini? au Polisi wametanda kwenye Briefcase?
Wanafanya lile wanaoliweza tusiwaulumuHabar wakuu hali ni tete hapa kinondoni polisi wanapiga mabomu kwa wananchi na wapenzi wa CHADEMA waliokuwa wanamsindikiza mgombea wao Salum Mwalimu,hali ni mbaya sana..taarifa zaid zinakuja
Ww haya mambo yameanza tokea jioni watu wakitokea kwenye kampeni mm nilikutana na huo mtiti maeneo ya mkwajuni polisi kibao watu wakienda magomeniKampeni zinaisha saa ngapi na sasa ni saa ngapi???Huo ni mkusanyiko usio halali,muda wa kampeni unajulikana.
Mambo mengine tuhoji kwanza kabla ya kutoa malalamiko yetu.
Hayo ndio kanisa limeyatolea malalamiko nchi imekuwa Mali ya kikundi fulaniHabar wakuu hali ni tete hapa kinondoni polisi wanapiga mabomu kwa wananchi na wapenzi wa CHADEMA waliokuwa wanamsindikiza mgombea wao Salum Mwalimu,hali ni mbaya sana..taarifa zaid zinakuja
Ofisi za Chadema kanda ya Pwani. Soma vizuri uelewe mkuu.Polisi kanda ya Pwani?!
Polisi kanda ya Pwani?!
Ili mkusanyiko uwe halali unatakiwa uweje. Juzi baada ya Mechi ya Yanga na Jana ya Simba mashabiki wa timu hizo walikusanyika kwenye Makao Makuu ya Klabu zao, mbona hawakurushiwa mabomu?Kampeni zinaisha saa ngapi na sasa ni saa ngapi???Huo ni mkusanyiko usio halali,muda wa kampeni unajulikana.
Mambo mengine tuhoji kwanza kabla ya kutoa malalamiko yetu.
Una takwimu?
Muda wa kampeni za Majukwaani na zile baada ya majukwaa ni tofauti. Halafu kumsindikiza mgombea wao ni kosa kwa mujibu wa sheria gani?Ume post dakika 2 ,zilizopita means saa 20:10 na umesisitiza tukio hilo linatokea Sasa hivi. Hapo ni nje ya muda wa kampeni. Wanamsindikiza kwenda wapi? Na kwa nini?
Hao wafuasi wa Chadema wanafanya nini mpaka saizi badala ya kuwahi kulala.Habar wakuu hali ni tete hapa kinondoni polisi wanapiga mabomu kwa wananchi na wapenzi wa CHADEMA waliokuwa wanamsindikiza mgombea wao Salum Mwalimu,hali ni mbaya sana..taarifa zaid zinakuja
Walivyoua muandishi iringa ulikuwa hujazaliwa?Polisi tanzania wamekua wenda wazimu kupiga mabomu bila ya sababu!