Jeshi limeingiliwa lime kuwa mdebwedo yaani wanataka kufanyiwa uchunguzi na chadema da musije mukakenuwa wakiwatolea uchunguzi wao hamchelewi kusema ni taarifa si ushahidiWadau wa cdm pamoja na Mwenyekiti wenu mkimaliza mbwembwe zenu Mtuletee Yule Dereva aliyeshuhudia Tukio.
Tumieni huu muda vizuri kadri muwezavyo lakini lazima Huyo dereva arudi Tanzania aisadie Police katika Uchunguzi.
Msisahau na vielelezo vya kuthibitisha matumizi ya fedha za Michango ya Mgonjwa.