Jeshi la Polisi lakamata bangi huko Kisimiri

Jeshi la Polisi lakamata bangi huko Kisimiri

Iruru

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
1,469
Reaction score
2,902
Kwa muda mrefu eneo la Arumeru Mashariki limekuwa likilima zao la bangi. Kila mwaka tumekuwa tukisikia bangi ikichomwa ama kukamatwa eneo hili, najiuliza, kwa wale mnaojua Arumeru sio eneo kubwa la kushindwa kuwajua walima bangi, kwanini kwa muda wote huu tumeshindwa kulikomesha zao hili?

Tunakuwa wapi wakati wakiandaa mashamba ya bangi tusigundue mpaka tukawatie hasara wakati wa kuvuna? Je hapo kuna anayefaidika.

Mshangao mwingine ni kwamba eneo hili ndiko iliko shule iliyokuwa ya kwanza kitaifa kwa mujibu wa Baraza la Mitihani; inaweza kuhusiswa na ulimaji wa bangi katika eneo hili?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    18.2 KB · Views: 123
Hivi haiwezekani kufanya legalization ya hemp (processed hemp) kutengenezea mafuta, dawa, plastics, ropes, papers badala ya kukata miti. Tunaweza kuweka Tax na ikaingiza pesa. Even through exportation!

Zipo nchi kama New Zealand wanatumia hemp kutengeneza products mbalimbali.

1b95cd59565eb20acecbda4dfb81d967.jpg


45c56ca4b940ad11191d43aa5f211bef.jpg


07d5c2addc1ebf530ce4632904a4f9e6.jpg


43e30cae738e8002a4b852a93bf2c824.jpg


effc81fd70ddd349ff8ce8e7ad02db03.jpg


39fa254ef3fd85ada74071e97d6eaada.jpg
 
Kwa muda mrefu eneo la Arumeru Mashariki limekuwa likilima zao la bangi. Kila mwaka tumekuwa tukisikia bangi ikichomwa ama kukamatwa eneo hili, najiuliza, kwa wale mnaojua Arumeru sio eneo kubwa la kushindwa kuwajua walima bangi, kwanini kwa muda wote huu tumeshindwa kulikomesha zao hili?

Tunakuwa wapi wakati wakiandaa mashamba ya bangi tusigundue mpaka tukawatie hasara wakati wa kuvuna? Je hapo kuna anayefaidika.

Mshangao mwingine ni kwamba eneo hili ndiko iliko shule iliyokuwa ya kwanza kitaifa kwa mujibu wa Baraza la Mitihani; inaweza kuhusiswa na ulimaji wa bangi katika eneo hili?
Kama eneo hilo hakuna zao linalokubali zaidi ya bangi kwanini wanawakamata wakati linawapatia pesa halali?
 
Hivi haiwezekani kufanya legalization ya hemp (processed hemp) kutengenezea mafuta, dawa, plastics, ropes, papers badala ya kukata miti. Tunaweza kuweka Tax na ikaingiza pesa. Even through exportation!

Zipo nchi kama New Zealand wanatumia hemp kutengeneza products mbalimbali.

1b95cd59565eb20acecbda4dfb81d967.jpg


45c56ca4b940ad11191d43aa5f211bef.jpg


07d5c2addc1ebf530ce4632904a4f9e6.jpg


43e30cae738e8002a4b852a93bf2c824.jpg


effc81fd70ddd349ff8ce8e7ad02db03.jpg


39fa254ef3fd85ada74071e97d6eaada.jpg
Mkuu tatizo nahisi hatuna uhuru wa kuamua, mara zote tunafanya yale wanayotuambia wakubwa kwamba ndo sawa, ila tungeweza kuwekeza katika utafiti na wataalamu wakaja watuambie ni namna ipi bangi inaweza kulimwa kwa manufaa
 
Wilaya ya Meru ni kubwa sana na mpaka ufike Kisimiri unapita Arusha National Park. Maeneo ya Kisimiri na Ngarenanyuki yanasifika kwa kulima bangi sana na ni ngumu kujulikana kwasababu zinalimwa kwenye misitu iliyokaribu na mlima Meru.
Sio kwamba hawajui kuwa kuna kilimo cha bangi la hasha siku wakitaka kusikika wanaenda na wandishi wa habari wanakusanya habari wanaondoka zao.
Bangi Kisimiri ni nzuri sana.
 
Kufanyike ujadala wa kitaifa kuhusu kuiruhusu hii kitu,maana tumeikataza kwa kufuata mkumbo tu,lakini sio kiuharisia.
 
Mkuu tatizo nahisi hatuna uhuru wa kuamua, mara zote tunafanya yale wanayotuambia wakubwa kwamba ndo sawa, ila tungeweza kuwekeza katika utafiti na wataalamu wakaja watuambie ni namna ipi bangi inaweza kulimwa kwa manufaa

Ninaamini tuna uwezo wa kufanya maamuzi. Hemp sio Canabbis inayokatazwa kwa sababu haina THC. Hivyo inapewa ruhusu katika nchi nyingi. Sisi hatuishi kwa kuangalia mbali, tunacopy ideas, hatuangalii hali yetu na nini tukitumie kuanzisha fursa. Hata viwanda tu inatupa shida kuweka.

Mwafrika ni mwafrika tu.
 
Tunatakiwa tufanye bangi zao la biasha maana ni zao ambalo linaongoza kustawi maeneo mengi ya nchi, kukataza bangi na kushupalia tumbaku ni mawazo ya kimaskini, sababu za msingi wakiulizwa hawana ni ujingaujinga tu, Kenya wao wanauza mirungi mpaka nje ya nchi sie kila kitu kwetu ni haramu, ila pombe ikikaa kwenye chupa hata kama ina alcoholi ya kiwango cha juu na imetengenezwa na mzungu ni halali.. mawazo ya kimaskini tu.
 
Kitu ya kismiri iko vizuri usipime ya olkokola haioni kitu
 
Mkuu tatizo nahisi hatuna uhuru wa kuamua, mara zote tunafanya yale wanayotuambia wakubwa kwamba ndo sawa, ila tungeweza kuwekeza katika utafiti na wataalamu wakaja watuambie ni namna ipi bangi inaweza kulimwa kwa manufaa
msukuma ali present hili mjengon mka mwona bwege
 
Sisi marasi mnatuonea sakrament zenu mnakula mnakunywa bila bugdha hii ya kwetu mnatukamata zaidi mnaichoma moto

Sakrament hii imewakosea nini
 
  • Thanks
Reactions: 9mm
Back
Top Bottom