Jeshi la Polisi kutoa msimamo wake leo kuhusu kauli za 'Mzee wa upako' kwamba waliomchafua watakufa

Kwani wewe ulimuandika vibaya??
 
Police imekuwa ya kutoa matamko na kuongea na waandishi wa habari...hizi ndio actions
 
Huu unabii wa mzee wa upako si unafanana na ndoto ya mbunge wa Arusha Godbless Lema. Ngoja tuone hatua zitakazochukuliwa na vyombo vya usalama.
Je, Lema kwao ni mungu mpaka wamshtaki?

Ni wazi dola ipo zaidi kwa ajili ya kuwashuhulikia upinzani
 
Huu unabii wa mzee wa upako si unafanana na ndoto ya mbunge wa Arusha Godbless Lema. Ngoja tuone hatua zitakazochukuliwa na vyombo vya usalama.
Lema anafananishwaje hapa?unafikiri kutumia ubongo kweli au sehemu tofauti?
 
Nimesikia ''mchungaji'' katoa 'kiapo' kuwa wale wote walio mnanga kwenye maadishi yao basi wajitayarishe ku resti ini pisi.. sasa kwa heshima na taadhima najitokeza kuwaombea msamaha hawa waandishi wetu maana mmoja wapo ni mdogo wangu, ndugu mchungaji wasamehe BURE tu walipitiwa na shetani.



Asante sana ..
 
Sirro mwenyewe anaogopa kufa unadhani atatoa kauli
 
kwani polisi hawajaangalia video yake vizuri mbona alitishia kupiga watu risasi...watuondolee unafiki
 
Nasubiria Polisi wamuweke ndani Bila dhamana kama walivyo fanya kwa Lema.
 
List tunayo tunasubiri machi 2017 ifike tuone wangapi watakuwa wamekufa, jamaa ajiandae kuuza Gongo.
 
Nna mashaka sana na akili za waumini wa huyu mzee...!
Mambo ya kishetani au giza yana mwisho mbaya. Makucha yameanza kujitokeza. Matusi, vitisho, sijui ulevi.... vyote tunaviona na kusikia kwa masikio yetu hata uki google kwenye google videos utapata na kuchambua mbichi na mbivu. Anayezungumza kwenye video kwa kutukana na vitisho ni yeye. Kwanini alaumu wengine?

Eti kuuza gongo....????? Huyu mtu sio Mkristo wala sio Msilamu. Hana chembe za upendo wa MUNGU, Bali ni upande mwingine kabisa.Wakristo na Waislamu hawamkubali. Nadhani anaweza akaua kwa wazi au kwa siri. Kwa kufuatia matamshi yake ni mtu hatari. Anaonekana ana hasira na sijui kama anamiliki silaha au la.

Labda wajaribu kumsaidia kisaikolojia ili apone. Labda ni kiburi cha pesa au sifa?????

Je hakuna chombo cha wachungaji, mashehe au dini ya kumsaidia mtu aliyeingilia shughuli zao ili mtu huyu asiharibu imani za watu?
 
Mbona ata mkulu alitabiri kua JK,LOWASSA n.a. yeye atakufa lkn hamna walio uliza kwanini alisema hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…