Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,985 6,658 Dec 21, 2022 #21 Bora tumejua kuwa wengi ni Wahaya.
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,416 55,610 Dec 21, 2022 #22 vipi, na wale wa 'ntumie 2k nna njaa'
Sinoni JF-Expert Member May 16, 2011 5,575 9,263 Dec 21, 2022 #24 JamiiForums & Content huyu NetMaster anaendeleza udhalilishaji pale PT walipoishia. Lindeni jukwaa.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,201 128,049 Dec 21, 2022 #26 NetMaster said: Kama unawahitaji wamejaa tele pale uwanja wa fisi Click to expand... Siwahitaji, bali napendekeza waweke namba zao za simu ili tuwapigie tuwagombeze na kuwakanya.
NetMaster said: Kama unawahitaji wamejaa tele pale uwanja wa fisi Click to expand... Siwahitaji, bali napendekeza waweke namba zao za simu ili tuwapigie tuwagombeze na kuwakanya.
SPACE CADET JF-Expert Member Dec 15, 2022 2,282 3,524 Dec 21, 2022 #28 Daudi Mchambuzi said: Basi waweke na namba zao za simu. Click to expand... Haa
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,811 107,299 Dec 21, 2022 #29 Wamevunjiwa haki zao za msingi za kikatiba za kuchukuliwa kuwa hawana hatia mpaka mahakama itakapowapata na hatia.
Wamevunjiwa haki zao za msingi za kikatiba za kuchukuliwa kuwa hawana hatia mpaka mahakama itakapowapata na hatia.
charldzosias JF-Expert Member Nov 10, 2013 2,461 3,359 Dec 21, 2022 #30 Mikono yao hao MALAYA inaonesha kbs bei zao ni elf 2 au buku
DeepPond JF-Expert Member Nov 18, 2017 40,638 99,727 Dec 21, 2022 #31 Kwenye hizo picha Wahaya naona wameupiga mwingi
Agentcode92 Member Feb 11, 2018 41 55 Dec 21, 2022 #32 Wanashindwa kukamata wezi wa mali za uma, wanawaangalia tu wanavyolamba asali wanahangaika na wajasiliamali wa mwili...!
Wanashindwa kukamata wezi wa mali za uma, wanawaangalia tu wanavyolamba asali wanahangaika na wajasiliamali wa mwili...!
Joannah JF-Expert Member May 8, 2020 19,110 44,216 Dec 21, 2022 #33 WAHAYA wamechukua kombe....mluguru nae wenzie wanatuuzia njegere huku mtaani😁
luambo makiadi JF-Expert Member Nov 28, 2017 10,317 8,303 Dec 23, 2022 #34 Dada zake kina instanbul The Great Haya @come77 sundoka mliberali Windhoek @
luambo makiadi JF-Expert Member Nov 28, 2017 10,317 8,303 Dec 23, 2022 #35 Jack Daniel said: Wahaya wamevuliwa nguo. Click to expand... ATI wanajitia wamesoma