Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,993
jeshi la polisi limesema limepata taarifa zilizotolewa na mh REGINALD MENGI jana na kuwatangazia kwamba wameanza kuwachunguza na yoyote mwenye kuasthiriwa na usemi wa mengi anaweza kufwata procedure .....
hawa JESHI LA POLISI wanafiki watupu kila siku wanachunguza sijui na wao waanze kuchunguzwa kwanza.....they r westing their time ....
SRCE KAMISHNA WA POLISI JUMA SAID
hawa JESHI LA POLISI wanafiki watupu kila siku wanachunguza sijui na wao waanze kuchunguzwa kwanza.....they r westing their time ....
SRCE KAMISHNA WA POLISI JUMA SAID