So what???
Hawaendagi hata! Labda wanafunzi ndiyo huwa wanaburuzwa kwa lazima.Matumizi mabaya ya Raslimali zetu.Inabidi Lema awaambie wakazi wa Arusha wasiende kwenye huo mkusanyiko wa Mwenge
Bunge,acha kurukia ipo siku utakuta mashine imesimamaSababu zimetolewa na ameruhusiwa kufanya mikutano siku nyingine. Sasa tatizo liko wapi?
Hapana mkuu..bora asipowakubalia..kwani mitihani ya darasa la 7 na mbio za mwenge ni Arusha tu?..hivi wabunge wa ccm wamekatazwa mikutano kwa wakati huu?Namshauri Mhe Lema akubaliane nao ilikuondoa mgongano usikuwa na maana.
Wewe bavicha hebu kaa kimya kidogo.
Hiyo ndio kazi yake. Unataka akafanye kazi ipi tenalema anachokiwaza ni mikutano tu ya kupigia porojo. kazi hafanyi.
Hawaendagi hata! Labda wanafunzi ndiyo huwa wanaburuzwa kwa lazima.