Jesca Kishoa Kafulila: Ufisadi wa kampuni ya shell Serikali iko kimya

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
[HASHTAG]#Nchi[/HASHTAG] imekosa misaada mingi na kusababisha bajeti kukwama kutokana na ukosefu wa utawala bora. Mwaka jana Bodi ya MCC ilitangaza kufuta msaada wa $463m kutokana na kushindwa kwa vigezo vya utawala bora. hiki ni kiasi kikubwa sana, Ni takribani shilingi trilioni1. Kiasi hiki ni kkikubwa sana kuweza kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini.

# Bajeti ya 2016/17 leo tunajadili imetekelezwa kwa kiwango cha asilimia 34% ya miradi ya maendeleo, kiasi cha chini sana. lakini sababu kubwa ni Waziri katembea Ulaya yote kutafuta mikopo na misaada bila mafanikio kwasababu wanaotoa mikopo hiyo wanazingatia kigezo cha utawala wa sheria, kitu ambacho kinavunjwa kila siku katika utawala huu. Leo miradi imekwama kwasababu nchi inaendeshwa na serikali isiohwshimu utawala wa sheria.

[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] wawekezaji na wafanyabiashara wanakimbia kwasababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kuleta mitaji kwenye nchi ambayo mkataba unaweza kuvunjwa jukwaani. biashara zinakufa, uwekezaji unazidi kukwama kwasababu wenye mitaji wanaogopa risk ya kuwekeza mitaji yao kwenye nchi ambayo serikali inaweza kuvunja sheria wakati wowote.Hii inaathiri biashara na mwenendo wa uchumi kwa ujumla.

[HASHTAG]#Kibaya[/HASHTAG] zaidi hata vita ya Ufisadi, bado kuna maeneo Rais anaonesha double standards, kuna watu wanavunja sheria wanatumbuliwa, na wengine wanavunja sheria lakini wapo akina Bashite wanalindwa tena kwa vyombo vya dola.

[HASHTAG]#Mkutano[/HASHTAG] uliopita niligusia hapa kuhusu kuvunjwa kwa sheria Finance Act 2012, kifungu cha 29, kinachosisitiza uhamishaji wa shares usifanyike bila malipo ya kodi ya ongezeko la mtaji( capital gain tax), lakini kampuni ya shell imekwepa kodi ya zaidi ya $500m, kiasi ambacho ni zaidi ya trilioni1. hiki ni kiasi kikubwa kinachoweza kujenga reli hiyo ya kisasa kutoka Dar mpaka Moro lakini kwasababu ya vigogo wasiogusika TRA, FCC na serikali kwa ujumla, nchi inapoteza fedha hizo. Huu ni ufisadi mkubwa na sintomwelewa JPM kwa kuachia mamlaka husika bila kuzichukulia hatua kwa kosa la kuruhusu umamishaji wa sheres kabla ya malipo ya kodi hiyo kufanyika kinyume cha sheria ya fedha ya 2012,kifungu cha 29.

[HASHTAG]#Nasema[/HASHTAG] haya kwasababu kampuni hii ya Shell ni very corrupt, juzi hapa imetajwa kwenye majarida makubwa duniani ikiwemo mtandao wa Global Witness kwa rushwa ya $1bn , zaidi ya shilingi trilioni2 huko Nigeria kwa vigogo wa serikali hiyo ili kufanikisha biashara zake. Nani ataamini kama ukiukwaji huu wa sheria hii hapa kwetu haujafanyika kwa nguvu ya rushwa?Utawala bora upo wapi hapa?

# Nataka majibu kuhusu ufisadi huu, maana mkutano wa Januari nilihoji kwenye Kamati ya walipokuja watu wa Fair Competition Commission(FCC), nikawahoji kwann ufisadi ulitokea, wakashindwa kujibu na kuahidi wangejibu kwa maandishi baadae leo tunaelekea nusu mwaka hawajajibu.

# Niliwandikia barua rasmi TRA kutaka maelezo ya ufisadi huu kwa mujibu wa sheria ya Haki, Kinga na Mamlaka ya Bunge ya mwaka 2002, kifungu10, kutaka wanipe taarifa ya kwanini jambo hili limetokea, leo ni mwezi zaidi umepita bila majibu. Na hata Nilipochangia bungeni Januari mwaka huu, Waziri wa Nishati alijibu akikiri tatizo bila kutoa majibu ya kwanini sheria hii imevunjwa. Nataka Serikali hii inieleze kwanini ufisadi huu umetokea na wahusika hawachukuliwi hatua?

# Mwisho naomba nihoji idara ya Utumishi, kwani mkoa wangu wa Singida nimepewa chati ya madeni ya walimu tangu 2013 mpaka 2017, walimu wanadai zaidi ya 2.4bn.kwanini madeni haya hayalipwi kwa wakati? kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ufanisi wa walimu na stahiki zao.hawa ni watumishi maskini lakini bado wanaidai serikali kwa miaka bila kulipwa. kwanini?

# Ukweli ni kwamba kuchelewa kuliwapa watumishi madeni yao kwa miaka ni dhuruma. kuna kila sababu sasa watumishi wanapochelewa kulipwa madeni yao serikali ianze kuwalipa na riba kwa miaka ya kuchelewa kwani wanalipwa wakati thamani ya deni lao imeshashuka. kama serikali ikichelewa kulipa madeni ya wakandarasi hata kwa miezi inalipa na riba kwanini ikichelewa kulipa madeni ya watumishi kwa miaka isilipe na riba? hii ni dhuruma kwa watumishi maskini wa nchi hii.
 
Baba mbishi mama mbishi mtoto sijui atakuwaje? Inabidi awekwe kwenye maabara tuchunguze mtoto atakuwaje?

Kwa hizi point atafute chama cha kuhamia cdm hawatamvumilia anamtonesha Laigwan. Hivi kwanini mume wake hawakumpa ubunge wa afrika mashariki?
 
Baba mbishi mama mbishi mtoto sijui atakuwaje? Inabidi awekwe kwenye maabara tuchunguze mtoto atakuwaje?

Kwa hizi point atafute chama cha kuhamia cdm hawatamvumilia anamtonesha Laigwan. Hivi kwanini mume wake hawakumpa ubunge wa afrika mashariki?

Amefanya kosa gani?kwa hiyo ni sahihi kukaa kimya wakati Taifa linapoteza $500M ambazo zipo lakini tunaenda kukopa badala ya kufuatlia pesa zetu.
 
[HASHTAG]#Nchi[/HASHTAG] imekosa misaada mingi na kusababisha bajeti kukwama kutokana na ukosefu wa utawala bora. Mwaka jana Bodi ya MCC ilitangaza kufuta msaada wa $463m kutokana na kushindwa kwa vigezo vya utawala bora. hiki ni kiasi kikubwa sana, Ni takribani shilingi trilioni1. Kiasi hiki ni kkikubwa sana kuweza kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini.

# Bajeti ya 2016/17 leo tunajadili imetekelezwa kwa kiwango cha asilimia 34% ya miradi ya maendeleo, kiasi cha chini sana. lakini sababu kubwa ni Waziri katembea Ulaya yote kutafuta mikopo na misaada bila mafanikio kwasababu wanaotoa mikopo hiyo wanazingatia kigezo cha utawala wa sheria, kitu ambacho kinavunjwa kila siku katika utawala huu. Leo miradi imekwama kwasababu nchi inaendeshwa na serikali isiohwshimu utawala wa sheria.

[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] wawekezaji na wafanyabiashara wanakimbia kwasababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kuleta mitaji kwenye nchi ambayo mkataba unaweza kuvunjwa jukwaani. biashara zinakufa, uwekezaji unazidi kukwama kwasababu wenye mitaji wanaogopa risk ya kuwekeza mitaji yao kwenye nchi ambayo serikali inaweza kuvunja sheria wakati wowote.Hii inaathiri biashara na mwenendo wa uchumi kwa ujumla.

[HASHTAG]#Kibaya[/HASHTAG] zaidi hata vita ya Ufisadi, bado kuna maeneo Rais anaonesha double standards, kuna watu wanavunja sheria wanatumbuliwa, na wengine wanavunja sheria lakini wapo akina Bashite wanalindwa tena kwa vyombo vya dola.

[HASHTAG]#Mkutano[/HASHTAG] uliopita niligusia hapa kuhusu kuvunjwa kwa sheria Finance Act 2012, kifungu cha 29, kinachosisitiza uhamishaji wa shares usifanyike bila malipo ya kodi ya ongezeko la mtaji( capital gain tax), lakini kampuni ya shell imekwepa kodi ya zaidi ya $500m, kiasi ambacho ni zaidi ya trilioni1. hiki ni kiasi kikubwa kinachoweza kujenga reli hiyo ya kisasa kutoka Dar mpaka Moro lakini kwasababu ya vigogo wasiogusika TRA, FCC na serikali kwa ujumla, nchi inapoteza fedha hizo. Huu ni ufisadi mkubwa na sintomwelewa JPM kwa kuachia mamlaka husika bila kuzichukulia hatua kwa kosa la kuruhusu umamishaji wa sheres kabla ya malipo ya kodi hiyo kufanyika kinyume cha sheria ya fedha ya 2012,kifungu cha 29.

[HASHTAG]#Nasema[/HASHTAG] haya kwasababu kampuni hii ya Shell ni very corrupt, juzi hapa imetajwa kwenye majarida makubwa duniani ikiwemo mtandao wa Global Witness kwa rushwa ya $1bn , zaidi ya shilingi trilioni2 huko Nigeria kwa vigogo wa serikali hiyo ili kufanikisha biashara zake. Nani ataamini kama ukiukwaji huu wa sheria hii hapa kwetu haujafanyika kwa nguvu ya rushwa?Utawala bora upo wapi hapa?

# Nataka majibu kuhusu ufisadi huu, maana mkutano wa Januari nilihoji kwenye Kamati ya walipokuja watu wa Fair Competition Commission(FCC), nikawahoji kwann ufisadi ulitokea, wakashindwa kujibu na kuahidi wangejibu kwa maandishi baadae leo tunaelekea nusu mwaka hawajajibu.

# Niliwandikia barua rasmi TRA kutaka maelezo ya ufisadi huu kwa mujibu wa sheria ya Haki, Kinga na Mamlaka ya Bunge ya mwaka 2002, kifungu10, kutaka wanipe taarifa ya kwanini jambo hili limetokea, leo ni mwezi zaidi umepita bila majibu. Na hata Nilipochangia bungeni Januari mwaka huu, Waziri wa Nishati alijibu akikiri tatizo bila kutoa majibu ya kwanini sheria hii imevunjwa. Nataka Serikali hii inieleze kwanini ufisadi huu umetokea na wahusika hawachukuliwi hatua?

# Mwisho naomba nihoji idara ya Utumishi, kwani mkoa wangu wa Singida nimepewa chati ya madeni ya walimu tangu 2013 mpaka 2017, walimu wanadai zaidi ya 2.4bn.kwanini madeni haya hayalipwi kwa wakati? kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ufanisi wa walimu na stahiki zao.hawa ni watumishi maskini lakini bado wanaidai serikali kwa miaka bila kulipwa. kwanini?

# Ukweli ni kwamba kuchelewa kuliwapa watumishi madeni yao kwa miaka ni dhuruma. kuna kila sababu sasa watumishi wanapochelewa kulipwa madeni yao serikali ianze kuwalipa na riba kwa miaka ya kuchelewa kwani wanalipwa wakati thamani ya deni lao imeshashuka. kama serikali ikichelewa kulipa madeni ya wakandarasi hata kwa miezi inalipa na riba kwanini ikichelewa kulipa madeni ya watumishi kwa miaka isilipe na riba? hii ni dhuruma kwa watumishi maskini wa nchi hii.
Kisho uko smart n logical, keep it up
 
ukiwa sehemu ya ufisadi ni ngumu sana kuhukumu kwa haki zaidi utaonea wale wasio na nguvu kukuzidi, Yesu alisema "asiye na dhambi awe wa kwanza kumrushia huyo kahaba jiwe"
 
Inaonekana huyu mama ana akili na elimu nzuri. Hayo ndiyo mambo ya msingi wenye akili tumekuwa tukiyasema hapa kila siku
 
[HASHTAG]#Nchi[/HASHTAG] imekosa misaada mingi na kusababisha bajeti kukwama kutokana na ukosefu wa utawala bora. Mwaka jana Bodi ya MCC ilitangaza kufuta msaada wa $463m kutokana na kushindwa kwa vigezo vya utawala bora. hiki ni kiasi kikubwa sana, Ni takribani shilingi trilioni1. Kiasi hiki ni kkikubwa sana kuweza kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini.

# Bajeti ya 2016/17 leo tunajadili imetekelezwa kwa kiwango cha asilimia 34% ya miradi ya maendeleo, kiasi cha chini sana. lakini sababu kubwa ni Waziri katembea Ulaya yote kutafuta mikopo na misaada bila mafanikio kwasababu wanaotoa mikopo hiyo wanazingatia kigezo cha utawala wa sheria, kitu ambacho kinavunjwa kila siku katika utawala huu. Leo miradi imekwama kwasababu nchi inaendeshwa na serikali isiohwshimu utawala wa sheria.

[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] wawekezaji na wafanyabiashara wanakimbia kwasababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kuleta mitaji kwenye nchi ambayo mkataba unaweza kuvunjwa jukwaani. biashara zinakufa, uwekezaji unazidi kukwama kwasababu wenye mitaji wanaogopa risk ya kuwekeza mitaji yao kwenye nchi ambayo serikali inaweza kuvunja sheria wakati wowote.Hii inaathiri biashara na mwenendo wa uchumi kwa ujumla.

[HASHTAG]#Kibaya[/HASHTAG] zaidi hata vita ya Ufisadi, bado kuna maeneo Rais anaonesha double standards, kuna watu wanavunja sheria wanatumbuliwa, na wengine wanavunja sheria lakini wapo akina Bashite wanalindwa tena kwa vyombo vya dola.

[HASHTAG]#Mkutano[/HASHTAG] uliopita niligusia hapa kuhusu kuvunjwa kwa sheria Finance Act 2012, kifungu cha 29, kinachosisitiza uhamishaji wa shares usifanyike bila malipo ya kodi ya ongezeko la mtaji( capital gain tax), lakini kampuni ya shell imekwepa kodi ya zaidi ya $500m, kiasi ambacho ni zaidi ya trilioni1. hiki ni kiasi kikubwa kinachoweza kujenga reli hiyo ya kisasa kutoka Dar mpaka Moro lakini kwasababu ya vigogo wasiogusika TRA, FCC na serikali kwa ujumla, nchi inapoteza fedha hizo. Huu ni ufisadi mkubwa na sintomwelewa JPM kwa kuachia mamlaka husika bila kuzichukulia hatua kwa kosa la kuruhusu umamishaji wa sheres kabla ya malipo ya kodi hiyo kufanyika kinyume cha sheria ya fedha ya 2012,kifungu cha 29.

[HASHTAG]#Nasema[/HASHTAG] haya kwasababu kampuni hii ya Shell ni very corrupt, juzi hapa imetajwa kwenye majarida makubwa duniani ikiwemo mtandao wa Global Witness kwa rushwa ya $1bn , zaidi ya shilingi trilioni2 huko Nigeria kwa vigogo wa serikali hiyo ili kufanikisha biashara zake. Nani ataamini kama ukiukwaji huu wa sheria hii hapa kwetu haujafanyika kwa nguvu ya rushwa?Utawala bora upo wapi hapa?

# Nataka majibu kuhusu ufisadi huu, maana mkutano wa Januari nilihoji kwenye Kamati ya walipokuja watu wa Fair Competition Commission(FCC), nikawahoji kwann ufisadi ulitokea, wakashindwa kujibu na kuahidi wangejibu kwa maandishi baadae leo tunaelekea nusu mwaka hawajajibu.

# Niliwandikia barua rasmi TRA kutaka maelezo ya ufisadi huu kwa mujibu wa sheria ya Haki, Kinga na Mamlaka ya Bunge ya mwaka 2002, kifungu10, kutaka wanipe taarifa ya kwanini jambo hili limetokea, leo ni mwezi zaidi umepita bila majibu. Na hata Nilipochangia bungeni Januari mwaka huu, Waziri wa Nishati alijibu akikiri tatizo bila kutoa majibu ya kwanini sheria hii imevunjwa. Nataka Serikali hii inieleze kwanini ufisadi huu umetokea na wahusika hawachukuliwi hatua?

# Mwisho naomba nihoji idara ya Utumishi, kwani mkoa wangu wa Singida nimepewa chati ya madeni ya walimu tangu 2013 mpaka 2017, walimu wanadai zaidi ya 2.4bn.kwanini madeni haya hayalipwi kwa wakati? kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ufanisi wa walimu na stahiki zao.hawa ni watumishi maskini lakini bado wanaidai serikali kwa miaka bila kulipwa. kwanini?

# Ukweli ni kwamba kuchelewa kuliwapa watumishi madeni yao kwa miaka ni dhuruma. kuna kila sababu sasa watumishi wanapochelewa kulipwa madeni yao serikali ianze kuwalipa na riba kwa miaka ya kuchelewa kwani wanalipwa wakati thamani ya deni lao imeshashuka. kama serikali ikichelewa kulipa madeni ya wakandarasi hata kwa miezi inalipa na riba kwanini ikichelewa kulipa madeni ya watumishi kwa miaka isilipe na riba? hii ni dhuruma kwa watumishi maskini wa nchi hii.
duuh! hizi share walimuuzia nani?
 
NI RAHISI KUBOMOA HTL YA MBOWE NA KUCHUKUA MASHAMBA YAKE!!
NI NGUMU KUKUSANYA KODI TOKA MAKAMPUNI MAKUBWA!!
 
[HASHTAG]#Nchi[/HASHTAG] imekosa misaada mingi na kusababisha bajeti kukwama kutokana na ukosefu wa utawala bora. Mwaka jana Bodi ya MCC ilitangaza kufuta msaada wa $463m kutokana na kushindwa kwa vigezo vya utawala bora. hiki ni kiasi kikubwa sana, Ni takribani shilingi trilioni1. Kiasi hiki ni kkikubwa sana kuweza kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini.

# Bajeti ya 2016/17 leo tunajadili imetekelezwa kwa kiwango cha asilimia 34% ya miradi ya maendeleo, kiasi cha chini sana. lakini sababu kubwa ni Waziri katembea Ulaya yote kutafuta mikopo na misaada bila mafanikio kwasababu wanaotoa mikopo hiyo wanazingatia kigezo cha utawala wa sheria, kitu ambacho kinavunjwa kila siku katika utawala huu. Leo miradi imekwama kwasababu nchi inaendeshwa na serikali isiohwshimu utawala wa sheria.

[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] wawekezaji na wafanyabiashara wanakimbia kwasababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kuleta mitaji kwenye nchi ambayo mkataba unaweza kuvunjwa jukwaani. biashara zinakufa, uwekezaji unazidi kukwama kwasababu wenye mitaji wanaogopa risk ya kuwekeza mitaji yao kwenye nchi ambayo serikali inaweza kuvunja sheria wakati wowote.Hii inaathiri biashara na mwenendo wa uchumi kwa ujumla.

[HASHTAG]#Kibaya[/HASHTAG] zaidi hata vita ya Ufisadi, bado kuna maeneo Rais anaonesha double standards, kuna watu wanavunja sheria wanatumbuliwa, na wengine wanavunja sheria lakini wapo akina Bashite wanalindwa tena kwa vyombo vya dola.

[HASHTAG]#Mkutano[/HASHTAG] uliopita niligusia hapa kuhusu kuvunjwa kwa sheria Finance Act 2012, kifungu cha 29, kinachosisitiza uhamishaji wa shares usifanyike bila malipo ya kodi ya ongezeko la mtaji( capital gain tax), lakini kampuni ya shell imekwepa kodi ya zaidi ya $500m, kiasi ambacho ni zaidi ya trilioni1. hiki ni kiasi kikubwa kinachoweza kujenga reli hiyo ya kisasa kutoka Dar mpaka Moro lakini kwasababu ya vigogo wasiogusika TRA, FCC na serikali kwa ujumla, nchi inapoteza fedha hizo. Huu ni ufisadi mkubwa na sintomwelewa JPM kwa kuachia mamlaka husika bila kuzichukulia hatua kwa kosa la kuruhusu umamishaji wa sheres kabla ya malipo ya kodi hiyo kufanyika kinyume cha sheria ya fedha ya 2012,kifungu cha 29.

[HASHTAG]#Nasema[/HASHTAG] haya kwasababu kampuni hii ya Shell ni very corrupt, juzi hapa imetajwa kwenye majarida makubwa duniani ikiwemo mtandao wa Global Witness kwa rushwa ya $1bn , zaidi ya shilingi trilioni2 huko Nigeria kwa vigogo wa serikali hiyo ili kufanikisha biashara zake. Nani ataamini kama ukiukwaji huu wa sheria hii hapa kwetu haujafanyika kwa nguvu ya rushwa?Utawala bora upo wapi hapa?

# Nataka majibu kuhusu ufisadi huu, maana mkutano wa Januari nilihoji kwenye Kamati ya walipokuja watu wa Fair Competition Commission(FCC), nikawahoji kwann ufisadi ulitokea, wakashindwa kujibu na kuahidi wangejibu kwa maandishi baadae leo tunaelekea nusu mwaka hawajajibu.

# Niliwandikia barua rasmi TRA kutaka maelezo ya ufisadi huu kwa mujibu wa sheria ya Haki, Kinga na Mamlaka ya Bunge ya mwaka 2002, kifungu10, kutaka wanipe taarifa ya kwanini jambo hili limetokea, leo ni mwezi zaidi umepita bila majibu. Na hata Nilipochangia bungeni Januari mwaka huu, Waziri wa Nishati alijibu akikiri tatizo bila kutoa majibu ya kwanini sheria hii imevunjwa. Nataka Serikali hii inieleze kwanini ufisadi huu umetokea na wahusika hawachukuliwi hatua?

# Mwisho naomba nihoji idara ya Utumishi, kwani mkoa wangu wa Singida nimepewa chati ya madeni ya walimu tangu 2013 mpaka 2017, walimu wanadai zaidi ya 2.4bn.kwanini madeni haya hayalipwi kwa wakati? kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ufanisi wa walimu na stahiki zao.hawa ni watumishi maskini lakini bado wanaidai serikali kwa miaka bila kulipwa. kwanini?

# Ukweli ni kwamba kuchelewa kuliwapa watumishi madeni yao kwa miaka ni dhuruma. kuna kila sababu sasa watumishi wanapochelewa kulipwa madeni yao serikali ianze kuwalipa na riba kwa miaka ya kuchelewa kwani wanalipwa wakati thamani ya deni lao imeshashuka. kama serikali ikichelewa kulipa madeni ya wakandarasi hata kwa miezi inalipa na riba kwanini ikichelewa kulipa madeni ya watumishi kwa miaka isilipe na riba? hii ni dhuruma kwa watumishi maskini wa nchi hii.
Hakuna kufukua makaburi
 
Baba mbishi mama mbishi mtoto sijui atakuwaje? Inabidi awekwe kwenye maabara tuchunguze mtoto atakuwaje?

Kwa hizi point atafute chama cha kuhamia cdm hawatamvumilia anamtonesha Laigwan. Hivi kwanini mume wake hawakumpa ubunge wa afrika mashariki?
Mtoto lazima awe a genius or a professor
 
Ufisadi mkubwa ktk nchi yetu upo katika nishati na madini, miundombinu na utalii.

Nadhani unajua Dereva kituo chake cha kazi kilikua wapi kabla
 
Back
Top Bottom