Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.Wayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!
Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?
Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?
Kuna kaburi la mohamed?
Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?
Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.
Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!
Acha kulishwa matangopori na mashehe ubwabwaNi muhimu kutambua kuwa Uyahudi sio ukristo na hawakubaliani kwa kila kitu ktk imani, aidha ukristu ulianzia Antiokia na siyo Uyahudini ingawa wahubiri wengi wa makanisa ya kipentekoste wanapotosha umma kwa kuhusisha ukristo na Israel
Kidogo wewe tango mwitu unaustaalabu lakini kuna vichwa humu!nakuelewa ndugu sana sana na vizuri umenijulisha kuwa hao mitume ni wayahudi ndiyo maana nikasema hivyo ila lazima tujue mji sio dini ila dini ipo katika mji kabla ya ibrahim baba wa mababa wa dini zote uyahudi,uislam na ukristo palikuwa na watu hapo sasa tukitetea amani kwa kidini atuwezi kuipata coz imani ni roho huwezi tenga mwili na roho,hivyo udini ukishika kasi hapo tusitegemee amani ikapatikana pia kumbuka na myahudi atakwambia sulemani ni myahudi na daudi baba yake ndiyo aliwajengea huo mji na mkristo atakwmbia daudi baba yake sulemani ndiyo chanzo cha Yesu ndiyo maana anaitwa mwana wa daudi na jeruselem ndiyo mji wake unafikiri amani itapatikana hapo,nafikiri sisi tuliodandia wakristo na waislamu tukubali tu wayahudi ndiyo wenye haki asilimia mia.kwani dini zingine zimekuja na kuwakuta wayahudi.
Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.
mnaenda kwenye nchi inautalatibu na sheria zake eti mnawalazimisha waruhusu wa KUOANA JINSIA MOJA mnaakiri MUNGU ANAWAONA.
Kilete hapa hicho kitabu alichopewa ibrahimu1 ibrahim alipewa kinaitwa SUHUFI.
2
It is written in the Scriptures of Ibrahim (peace be upon him):
“O world (dunya), how insignificant you are to the righteous to whom you adorn yourself. I created in their hearts hatred towards you and dislike for you. There is nothing in creation that is more insignificant to Me than you. Everything about you is insignificant; you are bound to perish; I decreed the day I created creation that you would not last for anyone, and no one would last for you, and even if the one who loves you tried to hold on to you, glad tidings to the righteous who showed Me what they have of contentment in their hearts and they showed Me what they have of sincerity and righteousness. Glad tidings to them: I have no reward for them when they come to me out of their graves except light running ahead of them, and the angels surrounding them, until I grant them what they hope for of My mercy. Al-Zuhd, by Ibn Abi’l-Dunya.
3 ummati ibrahim
4 Ibrahim..........,......................... yesu,,paulo,,,,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,muhammad
usichanganye madesa Quraan ime refute mafundisho machafu ya paulo,kwa ibrahim ni mbali paulo hakuwepo,paulo alicheza rafu ya kumvisha ukafiri Ibrahim,Quraan ikamsafisha
Hakuna kitu kama hicho, kihistoria huo mji ni wa kiyahudi na mji muhimu katika dini yao, hivyo tishio lolote la kudhuru misingi ya imani yao lazima lisipewe nafasi, habari za Mudi kutembea kuja Jerusalem ni uongo na ulaghaiMikristo isiyojua nini maana ya kuishi kwa kuvumiliana ndiyo inayosapoti Israel kujimilikisha Yerusalem yote wakati huo kumbukeni wakimaliza watoa waislamu watarudi dai na eneo la wakristo pia!!...
Yerusalem inabidi ibaki eneo la dini zote hata freemason na wasio na dini kama vipi wapate eneo tuu!!..
Mwisho wa hilo umekaribiaKasoro tu BBC HAWAJASEMA LILE KANISA LA nativity,msimamizi mkuu ni king Abdullah wa jordan na ndie anaetoa gharama za kulitunza
Mnapenda kumlazimisha mtu suleimani alijenga msikiti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kuna mitume waliotumwa kueneza dini ya kiislamu ni WAYAHUDI vilevile muhimu utambue na hilo
Kwa mfano Nabii Suleiman alikuwa myahudi lkn ndie aliewaamrisha viumbe waliokua chini yake kuujenga huo msikiti na nabii suleiman alikuja kabla ya nabii Issa(Yesu)
Na chanzo cha QIBLA ni hapo.kila muislam anaposali lazima aelekee kibla na chanzo chake ndio hapo hicho kibla
Hii ni dunia nzima wanalifahamu hilo
Quraan kareem haijaacha kitu.Yote yapo ndani yake
Zaburi-Alipewa nabii Dawood
Taurat-Alipewa nabii Musa
Injili (Biblia)-Alipewa nabii Issa (Yesu)
Quraan-Alipewa nabii muhammad s,a,w
Hicho kitabu cha mwisho ndio imeviunga vitabu vyote hivyo vya mwanzo.imetaja kila kitu
I hope utakua umenielewa mkuu[emoji1321]
Ismail baada ya kuzaliwa aliambiwa asepe pamoja na mama yake kwani alikuwa mtoto haramuUmesoma kilichoandkwa? Au unapayuka tu. Jerusalem ni mji uliobeba imani kuu tatu Uislamu wakiamini kuwa Ibrahim alimzaa Ismail.
Wakirstu wakiamini Ibrahim alimzaa Isyaqa.
Wayahudi (Judaism) wakiamini Ibrahim ni baba yao na ndiye aliyeambiwa atoke alipo aende nchi ya ahadi nayo ni kunanii.
Yeye ni baba wa watoto wawili Ismail na Isaka nayeye hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa alikuwa ni Mkirstu wala Muislamu ila aliabudu kwa kusujudu iweje wewe ujiaminishe kuwa Ibrahim anakuhusu wewe na wala siyo WAISLAM?.
WAISLAM wanahaki kama walivyo na haki Wakirstu na Wayahudi kwa kuwa Ibrahim ndiye aliyebeba Imani za hawa watu wote.
Kwa habari ya Hekaru soma vizuri post utaelewa mwandishi kasemaje na pia waarabu wanalitambua vipi na ndiyo maana huwezi kuona waislamu wanafanya dhihaka na maeneo hayo matakatifu Hekaru ni Nyumba takatifu kwa Imani zote ila siyo Kanisa.
Usipende kupayuka payuka tu mkuu.
Wakirstu wanahaki ya kuwa pale kama walivyo na haki waislam yakuwa pale.
Ushoga wa mombasa na zenji mliletewa kwa nguvu?Hivi mfano kule Iraq, Syria, na Libya ni nani mwanzilishi wa vurugu na vita, siyo nyinyi hujifanya mnaenda kuwafundisha watu eti namna ya kuishi mnavyotaka ninyi walikataa mnawapiga au mnapandikiza vibaraka wenu ili mlete vita MUNGU ANAWAONA.
mnaenda kwenye nchi inautalatibu na sheria zake eti mnawalazimisha waruhusu wa KUOANA JINSIA MOJA mnaakiri MUNGU ANAWAONA.
Hebu soma maelezo ya historia hiyo tena BBC wameweka kwa lugha nyepesi ili mimi na wewe tuelewe.Honestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Hutaki kujua lakini unafatilia....Hiyo kibra ya mwanzo ilijengwa na nani huko Jerusalem, ilikuwa mwaka gani, na huyo mjenzi kwa nini alikwenda kuijenga kule? Kama kibra ilihamishiwa mecca, nini kilisalia Jerusalem ambacho hakiwezi kuhamishwa?
Umeongea vema sanaaa.nakuelewa ndugu sana sana na vizuri umenijulisha kuwa hao mitume ni wayahudi ndiyo maana nikasema hivyo ila lazima tujue mji sio dini ila dini ipo katika mji kabla ya ibrahim baba wa mababa wa dini zote uyahudi,uislam na ukristo palikuwa na watu hapo sasa tukitetea amani kwa kidini atuwezi kuipata coz imani ni roho huwezi tenga mwili na roho,hivyo udini ukishika kasi hapo tusitegemee amani ikapatikana pia kumbuka na myahudi atakwambia sulemani ni myahudi na daudi baba yake ndiyo aliwajengea huo mji na mkristo atakwmbia daudi baba yake sulemani ndiyo chanzo cha Yesu ndiyo maana anaitwa mwana wa daudi na jeruselem ndiyo mji wake unafikiri amani itapatikana hapo,nafikiri sisi tuliodandia wakristo na waislamu tukubali tu wayahudi ndiyo wenye haki asilimia mia.kwani dini zingine zimekuja na kuwakuta wayahudi.
Uislamu umekuja juzi hahahaa wakati kwenye biblia kuanzia mwanzo mpka ufunuo hakuna hata chembe ya sentensi inayosema ukiristo ni dini.....wapagani wa ansokya ndo waliowapa dini nyinyiHivi Suleman alijenga huo msikiti?
Maana tunajua alijenga hekalu
Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu
Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?
Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli
Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim
Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,
Huo mji ungebaki kama ulivyo ukawa tu "Mji wa Amani" dini zote zikafanya yao bila kuingiliana kiroho safi tu.Nadhani ili kumaliza mzozo, mji huu uchukuliwe na dunia. Usikaliwe na Wayaudi wala Waparestina. UN itoe watu wa kuhudumia mji huu.
Wamuunge mkono mara ngapi wakati nyinyi mpo kinyume na kila ambacho kinamuhusu muislamuHivi na wakristo wakiamua kumuunga mkono trumph na Israel katika hii issue mambo yatakuaje..mi nadhani busara zaidi ingetumika kuliko matumizi ya nguvu kama ilivyo ssa