Sijapata kuona mtu punguniani kama wewe.....huna unachojua....huna kilichobakia ktk moyo wako.....mwisho nikutakie mwangaza ktk Maisha yako utoke ktk kiza kilichokupa usingizi wa akili na roho.Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu
Hivi Suleman alijenga huo msikiti?
Maana tunajua alijenga hekalu
Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu
Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?
Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu
Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim
Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,
Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe
Wakristo wa Tanzania hasa hawa vilaza wasiopenda kujisomea hudhani yahudi ndugu zao wa damu, dini ya kiyahudi haimtambui yesu, hamkubali na haikuli kinachoitwa ukristoWayahudi au uyahudi wanawawekak wakiristo na waislam kundi moja tu, hawajawahi kumkubali Yesu kama mtume wao kamwe, na wakiristo wa Israel na mashariki ya kati wanaua hili , ndio maana juzi waliandamana na kutoa tamko kwamba Jerusalem ibaki kama City of peace kwa dini zote, tatizo humu watu sio wafuatiliaji wa mambo ..... wakristo wa Israel wanapata shida sawa na wenzao wailam juu ya mayahudi , mimi nilikutana na mkiristo mkimbizi wa kipalestine kule Iraq na ni mkimbizi kwa sababu ya hao hao, ila huku kwetu tunafikiri uyahudi ni ukiristo .... uyahudi ni dini tofauti kabisa na wale conservative wanamchukulia Yesu kama nabii wa uongo, ni uislam tu ndio wanamuamini Yesu katika dini zote zisizo za kikiristo
Soma makala ya nzima ya BBC uone uhusiano ulivyoHonestly I don't care much who is god to who. That is their business. Ninachokisema ni kwamba nifahamishwe uhusiano wa waislam na Jerusalem!
Wakishasoma biblia hawataki kusoma vitabu vingine hasa hawa washabiki wa diniNaam umesema kweli kabisa ila walio wengi miongoni mwa wakristo hawafahamu hili
Wakristo wa Tanzania hasa hawa vilaza wasiopenda kujisomea hudhani yahudi ndugu zao wa damu, dini ya kiyahudi haimtambui yesu, hamkubali na haikuli kinachoitwa ukristo
Jiulize mwenyewe, maana mzozo ni palestina na Israel, wewe mang'ati kimbelembele chako kinahusu nini?
Hivi wewe ukisikia wapalestina wanapigana na waisrael,unafikiri wapalestina wote ni wwislamu.Wamo wapalestina wakristo pia.Ndio ukaona huu mzozo sio wa kidini,huu mzozo ni wapalestina(wakristo na waislamu),kugombania ardhi yao, iliyochukuliwa na waisrael.Wayahudi na Wakristo wala hawapingani juu ya umuhimu wa Jerusalem kwao. Wakristo wanaelewa kwamba Jerusalem ni ya Isreal. Wakienda kule wanakwenda kwa mantiki ya imani yao wala hawajawahi na hawawezi kung'ang'ania kuwafukuza Wayahudi kule eti sasa ni kwao kwa kuwa kuna chimbuko la imani yao!. Ridiculous!
Hawa waislam, kuna misingi gani ya Imani yao ya uislam katika Jerusalem?
Ndiko alikozaliwa mungu wao mohamed?
Kuna kaburi la mohamed?
Kuna nini cha imani yao katika Jerusalem?
Hawa watu ni wakorofi siku zote:-, hata ukiwapa Israel nzima haiwezi kuwapa amani kwa sababu amani yao huwa ni machafuko.
Waislam muoni haya.Oneni aibu kuwa watu wa kuanzisha machafuko na kusababisha umwagaji damu kila mnakokuwa na hata kwa majirani mnaopakana nao. Shame!
Tatizo la wakristo wengi wa Tanzania,wana ufahamu mdogo sana katika siasa za kimataifa.Hapa sio mzozo wa kidini,mzozo uliyopo ni wapalestina (wakristo na waislamu,wanagombania ardhi yao, iliyochukuliwa na waisrael.Wao wenyewe wapalestina ,wakristo na waislamu,hawana ugomvi,wanaishi pamoja.Wayahudi au uyahudi wanawawekak wakiristo na waislam kundi moja tu, hawajawahi kumkubali Yesu kama mtume wao kamwe, na wakiristo wa Israel na mashariki ya kati wanaua hili , ndio maana juzi waliandamana na kutoa tamko kwamba Jerusalem ibaki kama City of peace kwa dini zote, tatizo humu watu sio wafuatiliaji wa mambo ..... wakristo wa Israel wanapata shida sawa na wenzao wailam juu ya mayahudi , mimi nilikutana na mkiristo mkimbizi wa kipalestine kule Iraq na ni mkimbizi kwa sababu ya hao hao, ila huku kwetu tunafikiri uyahudi ni ukiristo .... uyahudi ni dini tofauti kabisa na wale conservative wanamchukulia Yesu kama nabii wa uongo, ni uislam tu ndio wanamuamini Yesu katika dini zote zisizo za kikiristo
wapalestina hawakutoka popote,ni wa hapohapo,hakuna history inayoonyesha exodus ya wapalestina toka sijui wapi,haohao wakazi wa hapo wali undergo changesHuo msikiti upo jerusalem mji ambao upo tangu israel ya kale,tatizo hapo ni colonization hiyo middle east ilitawaliwa karibu miaka 400 na dola ya ottoman hadi vita ya kwanza ya dunia ulipofanyika ugawaji wa ardhi huku kwetu takapata tanganyika .kwa kipindi hicho dola hiyo wayahudi walitawanyika sana toka katika ardhi hiyo kukimbia mateso ambayo kwa sehemu kubwa yaliface wao, wapelestina walikuwa ni watumwa wa kiarabu ambao walitoka katika nchi za kiarabu na wakaweka makazi hapo na wakaongezeka, baada ya vita hiyo mataifa makubwa likiwemo waingereza na wafaransa wakagawa mipaka wakiwa wamemega sehemu ambayo waparestina walifika kama watumwa na badaye yakawa makazi yao rasmi kama ilivyo liberia au visiwa vya karibian na kuwapa israel israel walipofika kwakuwa walikuwa na sapoti ya wazungu wakaanza kupora na maeneo walikuwa wanakaa wapelestina kwa kufata historia katika kwenye vitabu.Hivyo lile eneo ni la israel ambalo nao waliiba toka makabila mengine kwa kuyavamia kama Mungu alivyomwambia Musa ila wapalestine walikuja kama watumwa toka arabu ambao wanaasiri zinazofanana.hivyo tatizo hapo ni wazungu katika ugawaji wa nchi kama sasa hivi tuna wajuruo kenya na tanzania ila imesaidia sababu nyerere aliondoa ukabira.kiuarisia palestine hana sehemu ya kwenda ila israel pale ni pake kama wazungu wasingeigawa ile nchi kwa israel na palstine bali wangetengeza mazingira ya kuwatambua na kuwafanya waishi pamoja bila kuwatenga yasingetokea haya yote.mzozo ule auwezi kuisha kwani palestine hanasehemu ya kwenda na israel anasema pale pake palestine atoke .tuombe Mungu ule mzozo usiingizwe kidini ,maana vita ya kidini ni kubwa kuliko vita ya aina yoyote hata sisi atutakuwa salama maana kuna waislam na wakristo kama huko.
Wewe ni mpaeestina? What are you doing here? Kama huna hoja unanyamaza. Kiwango chako cha kuelewa zero, huwezi kunipa jibu wewe. Acha wanaojua watatoa maelezo.
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa."Abraham was not a Jew nor yet a Christian; but he was true in Faith, and bowed his will to Allah (which is Islam), and he joined not gods with Allah" (Quran 3:67).
Say: "(Allah) speaketh the Truth: follow the religion of Abraham, the sane in faith; he was not of the Pagans" (Quran 3:95).
Say: "Verily, my Lord hath guided me to a way that is straight,- a religion of right,- the path (trod) by Abraham the true in Faith, and he (certainly) joined not gods with Allah" (Quran 6:161).
"Abraham was indeed a model, devoutly obedient to Allah, (and) true in Faith, and he joined not gods with Allah. He showed his gratitude for the favours of Allah, who chose him, and guided him to a Straight Way. And We gave him Good in this world, and he will be, in the Hereafter, in the ranks of the Righteous. So We have taught thee the inspired (Message), "Follow the ways of Abraham the True in Faith, and he joined not gods with Allah" (Quran 16:120-123).
Naam umesema kweli kabisa ila walio wengi miongoni mwa wakristo hawafahamu hili
Waislamu achen kung'ang'ania hekalu na mji wa watu
Hivi Suleman alijenga huo msikiti?
Maana tunajua alijenga hekalu
Huo msikiti umejengwa karne za juzi tu
Why waislamu mnalazimisha yerusalemu uwe mji wenu?
Neno israeli lina maana yake kibiblia , ,nyie kwenye koran hamjui hata maana ya Israeli ,mnaropoka tu
Mnadanganya watu eti ibrahimu alikuwa muslim
Wakat uislamu umekuja juzi juzi na muhamad ,before hakuna hata chembe ya history kuwa kuliwahi kuwepo na kitu kinaitwa islamu ,
Nyie nenden macca na madin huko mkacheze na majini na kurusha mawe
Umesoma kilichoandkwa? Au unapayuka tu. Jerusalem ni mji uliobeba imani kuu tatu Uislamu wakiamini kuwa Ibrahim alimzaa Ismail.
Wakirstu wakiamini Ibrahim alimzaa Isyaqa.
Wayahudi (Judaism) wakiamini Ibrahim ni baba yao na ndiye aliyeambiwa atoke alipo aende nchi ya ahadi nayo ni kunanii.
Yeye ni baba wa watoto wawili Ismail na Isaka nayeye hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa alikuwa ni Mkirstu wala Muislamu ila aliabudu kwa kusujudu iweje wewe ujiaminishe kuwa Ibrahim anakuhusu wewe na wala siyo WAISLAM?.
WAISLAM wanahaki kama walivyo na haki Wakirstu na Wayahudi kwa kuwa Ibrahim ndiye aliyebeba Imani za hawa watu wote.
Kwa habari ya Hekaru soma vizuri post utaelewa mwandishi kasemaje na pia waarabu wanalitambua vipi na ndiyo maana huwezi kuona waislamu wanafanya dhihaka na maeneo hayo matakatifu Hekaru ni Nyumba takatifu kwa Imani zote ila siyo Kanisa.
Usipende kupayuka payuka tu mkuu.
Wakirstu wanahaki ya kuwa pale kama walivyo na haki waislam yakuwa pale.