Jerusalem kwa mujibu wa BBC

Sijui ni-side wapi. Binafsi nilishangaa kukuta Israel kuna few christian na jamaa hawana time saana na ukristo. Nilisali kanisa moja la kikristo, we were just about 40-50 people. Cha ajabu tunawahusudu sana!

Muslims wa Parestina nao huwa wananichanganya.

Historically, waisrael wamesurvive veeery hard times na they know how to defend themselves no matter how few they are!

Huu mzozo utagharimu maisha ya wengi kwa kipindi kirefu! Ukiwaangalia wapinzani wao wanaimarika daily, Hamas wapo well trained na ni jeshi makini sana, but too inferior ukiwalinganisha na waisrael.

The best solution ni kuchukuliana! Waisrael au wapalestina wakipewa whole city still permanent peace haitatokea!!!
 
Mbona unajishuku?
Kinachosbua dini yako ni kushindwa kujisimamia yenyewe...toka ilipoanzishwa ilianza kujisingizia kwamba lazima.ukasome vitabu vya waliotangulia! Sasa hao waliotangulia hawaukubali
 
Wakati mtume Muhhamadi alipowaendea Mayahudi nakuwaambia yeye pia ni Nabii , waliuliza swali , je maandiko gani yanamuonesha kuwa kuwa ni Nabii? aliposhindwa kujibu wakamwambia "Alainaa" na kumtoa nje kwa kumpiga mawe na akang'olewa meno. Kuanzia hapo mtume akaagiza wanaposali wasilekee tena Yerusalem ila mecca lkn mwanzo haikuwa hivyo
 
Acha kudanganya watu, isaka hajawahi kujenga msikiti

Mbona mnadanganywa hivo?

Unajua huo msikiti wa al aqsa umejengwa lini ?

Je unajua msikiti wa kwanza duniani ni upi na umejengwa wapi?

Isaka mtoto wa ibrahimu msimsingizie huo ujinga wenu,

Hapo mlipovamia na kujenga hilo al aqsa dome, inajulikana palijengwa HEKALU, Hata yesu alilikuta , lilijengwa na kubomoka, likaanza kujengwa tena kipind cha UTAWALA WA RUMI, likijengwa kwa miaka 40,

Yesu aliwaambia wayahud HALITASALIA JIWE JUU YA JIWE AMBALO HALITABOMOSHWA aliongea haya 30AD, kufika 70AD majesh ya warumi yalivamia na kulibomoa hekalu hilo lililokuwa la gharama , na UNABII UKATIMIA

sasa wewe ETI UNADANGWANYA KABISA ETI hapo palijengwa msikit na isaka


Uislamu na isaka wap na wapi?

Uislamu umekuja na muhamad miaka ya 600s AD .

BEFORE ibada zilikuwa zinafanyika kwa mungu allah ,hapo maka, mudy aliziboresha tu, ukitaka ushahid nakupa ,before muhamad upagan ulikuwa unafanywa na makuresh hapo kwenye jiwe jeus ,ambalo muhamad alilirithi .
 
maneno yko ni ya shigongo au kina verse ime quote ili tyamin unachosema?
 
Kwa mujibu wa kitabu kipi?Au ni maoni yako?Biblia na quran havikuacha kitu ila sijaona hilo ulilosema.
 
Israel ilipigana vita na nchi zipi ikashinda zote?Kila kukicha israel na palestine wanapigana na hakuna mshindi wa jumla.Unasema mataifa yanaogopa kuitenga israel?Huna unachokijua.Israel imetengwa na nchi nyingi haswa kipindi hiki tena imetengwa hata na tz kutokana na issue ya Jerusalem.
 
Siku zote nyinyi huwa wakrupukaji ss sjui kwakuwa mnaimba sana kaswida mnajua nn nyie kuhusu hata huo uslam kazi kupelekwa tu kama manyumbu , hilo likitabu lenu la uongoungo ambalo linahamasisha mambo ya ajabu hichohicho kitabu chako kinamzungumzia issa bin mariam vitu usivyovijua ww.
 
Mtume hajawahi pigwa mawe na wayahudi
Alipopolewa na watu wa taif ambapo ni nyumbani kwa mama yake.
Ibrahimu a.s alichomwa moto na wazee wake
Yesu ndio huyo alichofanywa mnakijua
Na wengineo kama Nuhu
Swaleh
Mussa
Sasa kama kupigwa mawe kwako ni ishu kubwa, unasemaje kuhusu huyo aliechomwa moto na huyo wa kwako alietundikwa mtini na kugongomelewa misumari. ..!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…