Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Waziri anatumia hadi mfano wa deni la songesha ili kuelezea deni la serikali, hahah patam hapo.
"Acha nianzie na songesha mana mimi huwa nasongesha, nini maana ya kukopa? Kukopa ni pale ambapo una matumizi ambayo ni makubwa ama ni ya ghafla kutokana na kipato chako, kwahiyo unaamua kusongesha elfu kumi kwa sababu kampuni yangu ya simu imenifanyia tathmini ya matumizi yangu imeniona mpaka elfu 10, elfu 20 ni himilivu kwangu nikisongeha naweza kulipa ndiyo maana ya himilivu" - Jerry Slaa Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Soma DSM - Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
"Acha nianzie na songesha mana mimi huwa nasongesha, nini maana ya kukopa? Kukopa ni pale ambapo una matumizi ambayo ni makubwa ama ni ya ghafla kutokana na kipato chako, kwahiyo unaamua kusongesha elfu kumi kwa sababu kampuni yangu ya simu imenifanyia tathmini ya matumizi yangu imeniona mpaka elfu 10, elfu 20 ni himilivu kwangu nikisongeha naweza kulipa ndiyo maana ya himilivu" - Jerry Slaa Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Soma DSM - Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025