Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kulia, sasa ni Mayor) akikabidhiwa fomu ya kuwania umeya wa maispaa hiyo na Katibu wa CCM wa Wilaya ya Ilala Ernest Charle katika Ofisi za CCM Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.