Huyu Meya najua yuko hapa JF ila ana akili fupi na Magufuli ana hoja ya msingi..
Watu wenyewe walioweka mabango hawalipi kwa sababu serikali na wanaohusika ni legelege ,, Sasa kwa nini barabara isiongezwe ili kupunguza foleni.. Huyu jamaa hajui kuwa serikali inapoteza mapato kiasi gani na nguvu kazi kwa sababu ya watu kuishi barabarani kwenye foleni kubwa..eti mabango yanaiingizia serikali pesa kwa hiyo barabara zisipanuliwe...
BIG JOKER....