Meya wa Ilala Jerry Silaa ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga Katika uchaguzi mkuu ujao.
Meya huyo ametangaza nia hiyo huku Jimbo la Ukonga likiwa jimbo linaloongoza kwa miundombinu mibovu ya barabara kiasi kwamba nauli ya daladala inafikia hadi 1000/-
Kwa sasa Jerry Silaa ni meya wa Ilala ambapo Jimbo la Ukonga liko chini yake na hatua mbalimbali za wananchi kulalamikia ubovu wa barabara hizo hazijafua dafu.
CCM imepoteza udhibiti wake katika maeneo mengi ya Ukonga kwa Chadema ambapo miaka ya nyuma ilikuwa ngome kuu ya chama hicho tawala.
Source:Mwananchi
Meya huyo ametangaza nia hiyo huku Jimbo la Ukonga likiwa jimbo linaloongoza kwa miundombinu mibovu ya barabara kiasi kwamba nauli ya daladala inafikia hadi 1000/-
Kwa sasa Jerry Silaa ni meya wa Ilala ambapo Jimbo la Ukonga liko chini yake na hatua mbalimbali za wananchi kulalamikia ubovu wa barabara hizo hazijafua dafu.
CCM imepoteza udhibiti wake katika maeneo mengi ya Ukonga kwa Chadema ambapo miaka ya nyuma ilikuwa ngome kuu ya chama hicho tawala.
Source:Mwananchi