Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Jerry Silaa, amejiunga rasmi katika mchakato wa kuwania ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Hatua yake ya kuchukua fomu inakuja wakati ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.
Jerry Silaa, amekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, tangu mwaka 2023
Jerry Silaa, amekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, tangu mwaka 2023