Bado hujani convince, nikichokiona ni msg kwamba ushamba wa kuzomeana kwanye International games ni mambo ya zilipendwa na hajaanza leo , nakumbuka mara kadhaa ameingia kwenye mkwaruzano na wana Simba pale taifa kwa kukaa jukwaa la Simba kwenye mechibza simba akishow love ingawa wanasimba tuliishia kumtimua kutokana na ukweli kuwa jamaa alikuwa ana uwezo mkubwa wa kututoa povu ingawa alikuwa anaonyesha live hakuwa mjuzi wa mambo ya mpira.Kwa Jerry
Haya sawa, nakubaliana na wewe kwamba hana analolijua kwenye mpira, na ana chembe za unafiki, simchukii, ila ndivyo alivyo.Bado hujani convince, nikichokiona ni msg kwamba ushamba wa kuzomeana kwanye International games ni mambo ya zilipendwa na hajaanza leo , nakumbuka mara kadhaa ameingia kwenye mkwaruzano na wana Simba pale taifa kwa kukaa jukwaa la Simba kwenye mechibza simba akishow love ingawa wanasimba tuliishia kumtimua kutokana na ukweli kuwa jamaa alikuwa ana uwezo mkubwa wa kututoa povu ingawa alikuwa anaonyesha live hakuwa mjuzi wa mambo ya mpira.
SafiHaya sawa, nakubaliana na wewe kwamba hana analolijua kwenye mpira, na ana chembe za unafiki, simchukii, ila ndivyo alivyo.
Ameanza kuizoea soka , kaishangilia Simba. Je wewe tafakari chukua hatua.
Tafadhali hatununui shabiki, Poleni vyura wazee, na ile mvua sijui pakoje hapo KATI maeneo ya Jangwani.Maana pale taifa mzee Baba wakuitwa Benjamini alimleta hihoo lakini mafuriko yalisimamisha mechi.Laleni salama
We acha kulinganisha Yanga na vitu vya kijinga.Kuishabikia Yanga ni upungufu wa aki.li. Huwezi ukawa timamu ukaipenda hiyo timu.
Hata mtaani fuatilia au hata hum jamvini utaona member wengi wakoje?Halafu wale viongozi wapuuzi puuzi ndio mashabiki wa simba damu
Nenda jukwaa la Siasa kama huna la kuongea kuhusu sokaHata mtaani fuatilia au hata hum jamvini utaona member wengi wakoje?
And whose boot are you licking now?Huyo Jerry ni bogus tu, hana maana kabisa huyo. He's a Boot Licker.
Please, read between the lines. He's the Boot Licker not me.And whose boot are you licking now?