Jerry muro akoswa risasi?

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,282
Reaction score
249
jerry muro akoswa risasi



source: Uwazi
 
Kuna jambo hapa!
Kwahiyo sasa mission ni kumuua kabisa...God save this soul!
 
what is happening now....??!!
kwa hiyo ndo wanataka kutudhihirishia mchezo mchafu sio........
 
Jamani mbona hii habari ingehit magazeti? lakini sijaona kabisa kulikoni
 
mh kweli nchi hii kiboko so wataua wakweli hadi lini wataziba midomo wakweli hadi lini jamani
 
Duu! Sasa naona wala rushwa wanataka kummaliza kabisa kijana ili walale usingizi mnono.
 
Wakimua Jerry serikari itakuwa imehusika maana haya yote yanatokea hawachukui hatua. kwa mtazamo wangu Taaruma ya habari itakuwa imekufa. UWAZI NA UKWELI HAUTAKUPO TENAAAAAAAAAAAAAAAA katika taaruma hii mhimu.
 
Duh swala hapa sio source kama habari ina ukweli haijalishi imetoka uwazi ,kiu ,majira au mzalendo..Raia Mwema habari ni habari tu
hii ni hatari sana
 
Duh swala hapa sio source kama habari ina ukweli haijalishi imetoka uwazi ,kiu ,majira au mzalendo..Raia Mwema habari ni habari tu
hii ni hatari sana

Hii habari haijatulia hata kidogo.
Mtu unahisi umepigwa risasi halafu huendi kutoa ripoti polisi!!!
Kama kweli alipigwa risasi alitibiwaje bila ya PF3 ya poisi?
Tukio kubwa Kama hili linatokea hadharani ikimuhusisha Jerry ambae habari zake ni hot cake halafu lisiripotiwe na vyombo vingine vya habari isipokuwa "UWAZI"???
 
walimwengu wana mambo...............
ni unyama unyama tu....
 
Nilikuwa karibu na eneo hilo sla mahakama ya Kisutu iku ya kesi ya Jerry (hasa wakati walipokuwa wanatoka mahakamani baada ya wale waumini wenzake kuangusha sala nzito), unfortunately, sikushuhudia tukio hili, nashangaa lilinipitaje
 

hapo ndo pa kujiuliza swali
 
Kwani PF3 ina lolote.......... watu wana vijihospitali vyao majumbani.......... hivi unadhani wale majambazi wanaojeruhiwa katika mapambano na polisi huwa wanatibiwa wapi...???
 
Kama nikweli alipigwa na kitu kichotoboa hadi kiatu na akavuja damu nyingi:-
1. Hospitali ya karibu wa mjini ni Hindumadal, Burhani, Dr,Khan, Aga Khan nyingine ni Tumain Muhimbili walishindwa kumwaisha ktk hizo maana alikuwa anavuja damu nyingi ss kutoka mjini hadi mwenge hapo pana nishangaza
2. Na je Hospital gani huwa inapokea majerui anaye vuja damu nyingi bila PF3 ya polisi.

Hii habari ina ulakini ndani yake??
 
Shakazulu, Mpitanjia na Borntown nakubaliana na nyinyi iweje tukio la risasi litokee mahakamani halafu watu wengine wasihisi kwamba kumetokea kitu cho chote? hata ikiwa hao wataalamu wametumia silencer lakini harakati zisingekuwa ndogo.

Na kweli kuna kihospitali au kidispensary kinachotibu bila ya PF3 hasa kwa issue kubwa kama hiyo, huyo mwenye kitegauchumi chake amechoka nacho? Akisakaziwa kuwa anashirikiana na majambazi atajitetea vipi?

Kwa maoni yangu hii ni ya kuuzia magazeti labda circulation imepungua sana.
 
mhhh nahisi hii ni trailer ya Movie. based on true story or not ???????????? Inawezekana tukio limetokea jumamosi au j2 siku mahakama zinakuwa wazi ila hakuna watu ???? Muhandishi , Jerry Muro na Dk ndio sterlings wa hii movie.

Tunasubiri full picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…