Jeri Muro ni jembe la ukweli,jana kupitia clouds Tv kaonesha jinsi alivyo jasiri wa kuongea ukweli pasipo uoga wowote...plz CDM fanyeni mpango mathubuti mlichukue jembe hili.
Jeri Muro ni jembe la ukweli,jana kupitia clouds Tv kaonesha jinsi alivyo jasiri wa kuongea ukweli pasipo uoga wowote...plz CDM fanyeni mpango mathubuti mlichukue jembe hili.
Nafikiri wewe jasiri unaitafsiri kitofauti sana, sikushangai maana Mmasai kwake jasiri ni yule aliyeua Simba lakini Mzaramo Jasiri ni yule aliyefumaniwa zaidi ya mara tatu (kwa mujibu wa marehemu Ditopile-RIP)
Du hii nchi bwana leo muomba rushwa mkubwa anaitwa jasiri walai tumelaaniwa,juzi juzi kanifurahisha alilia kama mtoto alinyanganywa dem moja hivi mwenye hela aliekuwa anamweka mjini hapa ilikua ni kilio cha hatari,kumbe wanaume wanapenda mtelezo saizi kapigwa chini na huyo mama pedeshe na gari kamnyanganya, huyo ndo jasiri..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.