hadi zimamoto wafike hapo ndio shiiida
si upige hiyo 114 hata weweumeshndwa kupga 114 ukaona ulete Jf kweli 1:4 inakuhusu
Maybe wanaweza tumia.... mbona ambulance huwa zinapita pia katika dharura kama hizoHivi katika dharura kama ya moto yale magari mekundu yanaweza kutumia njia ya mabasi ya mwendokasi?
Yes YANARUHUSIWAHivi katika dharura kama ya moto yale magari mekundu yanaweza kutumia njia ya mabasi ya mwendokasi?
Zile washa washa ziliishia wapi? Si zinaweza saidia?Wanabodi habari za asubuhi!
Nimepita sasa hivi hapa Morogoro Rd maeneo KIMARA TRA, kuna jengo kubwa nyuma ya OFISI ZA TRA KIMARA linawaka moto.
Kwa macho ya mpita njia, moto ule ni mkubwa sana. Nikiwa kama mpita njia sina info za ziada.