Jengo la CCM Arusha!! Picha

Kwa maoni yangu, hilo jengo wapewe Yanga kabla mvua azijaanza.
 
Hayo majengo ya ccm yanatakiwa kurudishwa serikalini maana yalijengwa wakati wa chama kimoja na serikali.
 
Sio kweli CCM bado ipo Arusha na inaendelea na maandalizi ya kampeni pamoja na kumpokea kwa kishindo mgombea urais
Ha ha ha ha naisubili kwa hamu sana siku hiyo , labda mje wa wanachama kutoka Dodoma.
 
Hata Nguo za kijani ni nadra kuziona jiji Arusha toka laigwanani amalize kazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…