Jengo la ccm hapa jijini Arusha ambalo limekimbiwa na viongozi wote kuanzia
Mwenyekiti Mpaka mfagizi.
Limebaki kama GOFU
Nini Maoni yako kuhusu hili jengo
Jengo la ccm hapa jijini Arusha ambalo limekimbiwa na viongozi wote kuanzia
Mwenyekiti Mpaka mfagizi.
Limebaki kama GOFU
Nini Maoni yako kuhusu hili jengo
Jengo la ccm hapa jijini Arusha ambalo limekimbiwa na viongozi wote kuanzia
Mwenyekiti Mpaka mfagizi.
Limebaki kama GOFU
Nini Maoni yako kuhusu hili jengo
weka ofisi yako ya chadema pia tuione acha porojo we kibaka.
Wameenda wapi? Au wamekuja Lumumba kwenye Kikao cha kamati kuu?
Tuoneshe na ofisi za chadema Arusha
Sio kweli CCM bado ipo Arusha na inaendelea na maandalizi ya kampeni pamoja na kumpokea kwa kishindo mgombea urais
Kwani hilo jengo ni mali ya CCM. Haya ni majengo ya UMMA CCM iliyapora kutoka kwa wananchi. Ila Lowassa atayarudisha yote.