Jengo la Bilioni 46 kujengwa kwa bilioni 10, natanguliza pole kwa watumiaji

Beyond dictation. sasa hivi Arusha Kazi hawawapi contractors tena, mkuu wa mkoa ameagiza mafundi wa mtaani ndo wapewe kazi. Nchi hii inaelekea shimoni na sisis tunaangalia tu, we got to do something
Kweli mtu mzima unaandika mavi kiasi hiki??!! Kkwelo pumzi zimekata.
 
Sasa ww hapo unaongea ki professional au ki emotional?? Unajua taratibu za manunuzi ya jengo kama lile?? Kuanzia architect consultant anavyowasilisha mchoro,hadi unavyomleta QS kupiga gharama,hadi unavyokuja kutangaza tenda ya kumpata mjenzi??kuna taratibu maalumu za kupunguza gharama kama unahisi si sahihi na siyo kupitia siasa ni kupitia Qs wako anaclaim kwa mujibu wa taratibu,unajua madhara ya kusign contract ya kujenga jengo then kubadili masharti ya mkataba??nasikitika siasa kuingilia utaalamu,na si vinginevyo,sina maslahi yoyote na jengo lile ila wataalamu lazima tusimamie taaluma zetu tuache kuendekeza siasa
Nae ana Intelijensia yake, unahisi kakurupuka bila kuuliza watalaam.
 
Sasa kama TBA wamepewa tenda zote je hao wafanyakazi kazi watatoa wapi? Au wana robots watakazo fanya hizo kazi?
Jaribuni kufikiria angalau hatua mbili mbeleni kwanza
We jamaa umejibu kama vile unajua uliyemjibu alitaka kujaribu kudanganya.
Kama TBA watajenga ni lazima watahitaji watu kama hao wengine walivyokuwa wanawahitaji. Faida ya kuwa na watu wanaotumia akili
 
Magufuli is right. Very right. Let's be professional, not emotional. Hostel za UDSM na hospitali hiyo kipi expensive? How come hospital ya mkoa icost 46bn na hostel zicost 10bn. Ni sawa na kununua TV kwa 2M Mlimani City Mall na mwingine akapata TV ile ile na ubora ule ule Kariakoo. The very same concept. Kinachotusumbua waTZ tulio wengi ni WIZI na ubinafsi.
mkuu taaluma inaongea, kutoka 46b to 10b tutakuja kulaumiana. tukumbuke MV Dar es salaam
 
"Politics is about everything but everything is not politics and makinge everything politics,amount to make everything a failure".

Tutaendelea kufeli kwenye kika kitu na awamu hii tutafeli kwa speed ya rocket.

Gharama inaweza kweli kuwa ni kubwa ila inategemeaa na aina ya jengo na hata kama ni kupitia upya gharama basi ifanywe na wataalamu husika lakini sio kwa Raisi kupanga bei(hizo ni fani za watu)
Inawezekana kuwa contract yake ni mpaka kusupply equipment za hospital kwenye Jengo husika
 
Pale chanika kuna hospital yamama na mtoto inakaribia kumalizwa,,,gharama za ujenz ule ni 1.9-2.2 billion,,,sasa hyo ya 46 bl mmmmh,,,uwanja wa taifa ni 54 bl jaman aisee kuna mwongeza sifuri kaongeza hapo
 
Halafu si kila anayehoji ni mpinzani,naweza kuwa ni mwanaccm mzuri kuliko wewe,mm pamoja na familia yangu ambao baadhi ni viongozi,ila unapofika muda wa kusema ukweli wacha tuseme na utaalamu achukue nafasi yake,mm shishi simiyu,na sina mpango wa kuishi simiyu Leo wala kesho,wala sina ndugu huko,kama itatokea nikitumia hilo jengo ni kwa mapenzi tu ya Mungu labda nikiwa safarini,,ninao waonea huruma ni hao wakazi wanaojengewa jengo la kitaalamu kwa mafundi wa mtaani,naijua hii industry ndo maana nawaonea huruma,
Nani kakuambia wapinzani ni vyama vya upinzani? Kuna wezi na wapinzani wa maendeleo ya nchi zaidi ya ccm?
Wanaopinga ufisadi kufutwa sio vyama vya upinzani ni nyinyi ccm wwnyewe na hao ndugu zako viongozi.
Unafikiri uhakiki wa mali za chama chenu utawaacha salama na watapata wapi courage ya kupenda hatua hiyo wakati wanaoongoza kwa wizi na ufisadi ni ccm na ndio hao Rais anawashughulikia
 
10% kwanani?afu athari za hii kitu ni inasambaa mpaka kwa institutions za serikali, kodi, ada katika bodi za wataalamu hawa kama aqrb, erb, crb n.k hii siyo good move natarajia hata wewe unalikubali hili
Mtu asiekua kwenye industry hawezi kuelewa mkuu maana wanafikiri muda wote contractors wanaiba... TBA hawawezi kufanya kila kitu wanazidiwa vingi na makampuni binafsi. Hili jipu mkuu analolitengeneza litampasukia usoni siku moja
 
Watu wa manunuzi mlizoea kuiba sana, taratibu za manunuzi katumie nyumbani kwako, hapa tunaangalia value for money, kaeni uko na upinzani wenu uku sisi nchi tunaipeleka mbele kwa kasi ya roketi
 
Kama 10bilioni zinatosha kijenga hospital ya mkoa basi kila mkoa tanzania unatakiwa uwe na hospital kwani ni kama bilioni 300.
 
Miakaya nyuma wakati wataalamu wanazidisha chajuu kwenye miladi yaselikali mlikaakimya, wataalamu nawakandarasi wakapigaelambaya mlikaakimya namwishoe serikali ikalaumiwanawananchi na mlifikiamkasema serikali nidhaifu.
Sasa mkaekimya mdawenu umeshapita mwacheni JPM atupeleke anapoona panafaa. Nafasiyenu kwasasani kulalamatu.
 
I was there personally when he was talking about that hospital. Mtoa mada ulichokizungumza kina utofauti mkubwa sana na kilichokua pale ground zero. Ushauri wangu ni kwamba usubiri masaa machache utakuwa ushapata video ya hilo tukio and im sure if you are an honest person you will come to thank me


Utawaweza hawa watu wanajiumauma na maisha, na kazi yao kuandika bila hata kuwa na subira ya nini kimejiri.

Wanafikiri wanajua kumbe wameula.
 
Ikiwa Architect, QS consultant, Contractor wamekubaliana jengo linajengwa na kukamilika kwa billion 46, anakuja mkemia anasema hilo jengo kwa mchoro uleule mjenge kwa billion 10 na likamilike...

Natanguliza pole zangu kwa wananchi wanaoekwenda kutumia hilo jengo maana kitakachotokea hapo ni bora jengo na si jengo bora,,
Inawezekana kabisa kwa sababu STRUCTURAL ENGINEER yuko sidelined (excluded) which means kwamba structural strength ya jengo SIYO "a compulsory requirement"!
 
mkuu taaluma inaongea, kutoka 46b to 10b tutakuja kulaumiana. tukumbuke MV Dar es salaam

Logic hapo ni kuwa hiyo 46b ni ghali. So hata kama itazidi 10b maana haiwezi kuwa exact lakini itakuwa managed isiende juu. Obviously lazima requirements na specifications zitabadilika kuendana na cost changes ila logic ni kudhibiti ubadhilifu.
 
Mnaojifanya wataalamu tuambieni ni lini asiyekuwa mtaalamu akaweza kuiba kitaalamu? Wizi, ufisadi wote na mambo yote ya kijinga yamefanywa na wanaoitwa wataalamu na watu wa kawaida walipohoji mlijichekesha kwa dharau na kubinua maidomo yenu ''haya ni mambo ya kitaalamu hamuwezi kujua'' Sasa mmempata mwenzenu asiyedanganywa na yeye alishiriki kwenye mambo hayo ya ujenzi kwa miaka mingi sana, sasa kwanini asijue wapi manpiga na wapi hampigi?
Billion 46 yawezekana ni chache pia ila yeye sio mjinga kuna watu wamemtonya juu ya kinachoendelea huko.
 
Back
Top Bottom