Jengo jipya la TANESCO wilayani Chato

Jengo jipya la TANESCO wilayani Chato

Salamu sana ndugu wana Jf
Napenda kufahamu,je Chato iko mbioni kuwa makao makuu ya mkoa? Maana taasisi kubwa kubwa za kimkoa zimekuwa zikijengwa.
Hivi karibuni nimeona ujenzi wa jengo litakalokuwa makao makuu ya TANESCO huko,ni bonge la jengo na zuri kweli kweli.Pamoja kwamba sio vibaya kuwa mkoa mpya lakini ni wilaya zipi zitafanywa kuwa kuripoti mkoani Chato?

Wilaya: Katoro, Buseresere, Bwanga, Runzwewe, Buziku, Mganza, Buzirayombo, Runazi.😂😂😂😂😂. Mcheza kwao ........!!!
 
Wakati umeme unasambazwa mpaka kwenye Migomba kuna Wilaya hazikuwa na Umeme na walivuta subira
 
Back
Top Bottom